Angalau zile kelele za tarehe 8 zimalize
matusi kama yote leo [emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha mamaaeee umbwaaa nyiee msilete mazoea
Ila kichapo chake si mmekiona.Goli 1 huwa halisahauliki kamwe kwa machungu yake hadi ukiingia kaburini Mtani, tena mbaya zaidi mbele ya marais watatu pole sana kwa goli la Yanga kupitia Morisoni.
Pole sio mmefungwa moja NNE!!!!Bado siamini yanga tumefungwa[emoji26]