rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Yanga wanajilaumu kuwapora kagera nafasi yao wamekutana na kipigo cha aibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado siamini yanga tumefungwa😥
45dk simba 2 yanga 0
90dk simba 4 yanga 1
kwenu studio
Kazi ya Uganga wa kienyeji inakufaa sana
umemaliza kuangalia marudio🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 mechi ishaisha chifu
Utopolo nayo ni timu hadi isifungweBado siamini yanga tumefungwa😥
Ase we jamaa una moyo kweli... endelea kujifarijiGoli 1 huwa halisahauliki kamwe kwa machungu yake hadi ukiingia kaburini Mtani, tena mbaya zaidi mbele ya marais watatu pole sana kwa goli la Yanga kupitia Morisoni.
Na kweli mmefunga goli moja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yanga 1_Simba 0 goli litafungwa 1st half na kudumu mpk dk 90+
Inaitwa UtopolonneNne kwa kiarabu inaitwaje wakuu
Simba itashinda goli 4 kama benchi la ufundi wakitambua makosa yao.
naomba mnambie kiwanja chenye watoto wakali 👆👆👆45dk simba 2 yanga 0
90dk simba 4 yanga 1
kwenu studio