Nusu Fainali Azam Sports Federation Cup: Simba 4-1 Yanga uwanja wa Taifa Dar es salaam

Nusu Fainali Azam Sports Federation Cup: Simba 4-1 Yanga uwanja wa Taifa Dar es salaam

Huwezi kumweka benchi beki yondani ajuae nini maana ya Derby,nchimbi mkimbiza upepo nje eti,makapu n.k yaani kocha amefanya fyongo na kuwapa vichwa mikia hawa walikuwa hawatoki pale .hongera zao mmerudisha cha tarehe 8
 
Back
Top Bottom