Yule 5imba mwenzenu. Shabiki wa kweli ndo kina sisi yaani iwe mvua iwe jua Yanga nitaipenda.Pole mtani mwenzako alifanya maamuzi magumu akaacha kushabikia yanga mkawa mnamponda yeye sasa hivi roho kwatu
Sasa na nyie mlipokua mnampa mkataba wa miezi mitatu mlikua mnafikiria nini?Nadhani ndo kimebakia Mtani.
Sasa hata kama ni wewe una mtu kila siku anasusa wa nini sasa. Ye anataka furaha tu. Mmmxxxxiiiieeewww.
Aiseee!!! Kauli ya kuudhi hii Mtani.Tumieni dawa 3, maumivu yakizidi mumuone daktari
Hapo hata mazoezi ya leo kunyoosha viungo haendiAlivyotolewa akaondoka moja kwa moja uwanjani
Wao badala ya "kumtegemea" Mungu wakawa "wanamtegea" Mungu. WameumbukaNdio mjifunze kumtegemea Mungu na sio mwanadamu
Leo mtaomba poohAiseee!!! Kauli ya kuudhi hii Mtani.
Mi ni katika wakomavu katika hii tasnia we Ses. 😀Hiyo para ya pili hiyo nimeilewa Shadeeya. Hiyo ni kauli ya kiungwana kabisa. Umekua sasa mamii, naomba upite kwenye supu nakuja kulipa😀😀😀🤪🤪🤪
Wametufanya jambo letu likaenda sawaWao badala ya "kumtegemea" Mungu wakawa "wanamtegea" Mungu. Wameumbuka
Inawezekana kabisa hiyo Mtani mana mi ile tarehe nane nilisogoa mpaka nakuja kushituka ni time ya lunch. 😂😂😂😂Leo hata chai sinywi kwa furaha iliyopo
Nawaza vile namna unajisikia leo Mtani. Lol.
Nimekubali. 👏
Kwa ile kauli yako nakubali kua umekwivaMi ni katika wakomavu katika hii tasnia we Ses. 😀
Nimeshiba leo. 🙁
Aaaah!! Kocha katuuza Ses.Ndio yale ya chakula kijiwa kitamu unasifiwa mchele, ikiwa kinyume chake haulaumiwi mchele analaumiwa mpishi!
Yaani kutoa sifa kwa Lunyasi kuwa soka lao ni la hali ya juu sana unaona kama watolewa roho vile🤣🤣🤣. Hata angepanga kikosi gani kupapaswa jana ilikua lazima
Kiulaiiini kabisa Mkuu🤣🤣🤣Wametufanya jambo letu likaenda sawa
Hebu mtuchambe kwa kiasi basi. Lol.Wao badala ya "kumtegemea" Mungu wakawa "wanamtegea" Mungu. Wameumbuka
Tena ngoja nikakatoe. 😀Hiyo label ya kwenye socket inaonyesha wazi unaunga mkono juhudi za ssc
Uwiiii!! Mi kulala mapema kawaida yangu.Sijui kama ulikumbuka kuiondoa hapo baada ya mechi. Wasiwasi wangu ni kwamba ulienda kulala mapeeeeema😀
Ukweli tilikumiss wakati wa mpira ulitakiwa uwe live kuwafariji wenzako maana wengi tulikuwa nao kabla ya mpira kuanza baadae hatujui walipata matatizo gani labda walipoteza fahamu baada ya goli la piliInawezekana kabisa hiyo Mtani mana mi ile tarehe nane nilisogoa mpaka nakuja kushituka ni time ya lunch. 😂😂😂😂
Aah!! Huoni kama imekuwa nafuu kwetu. 😎Sasa na nyie mlipokua mnampa mkataba wa miezi mitatu mlikua mnafikiria nini?