Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Hahaha hahahaTaratibu mzee wataelewa tu
mkuu mbona unakuwa msahaurifu mara hii kama ulirudishiwa goli 2 ndani ya dk 1 iwe hili mojaHayaaaaaaaaaaaaa Simba 1 yanga 0 Getson Fraga anaweka kitu ndani ya kimyaa
Zilipendwamkuu mbona unakuwa msahaurifu mara hii kama ulirudishiwa goli 2 ndani ya dk 1 iwe hili moja
Si wanajifanya viburi hawa ngoja tuwafundishe leo.Siyo vizuri, hawa ni watani, tuwape nafasi ya kucheza mechi za kimataifa.
Hakuna tabu we chomoa tu tuanze upya.mkuu mbona unakuwa msahaurifu mara hii kama ulirudishiwa goli 2 ndani ya dk 1 iwe hili moja
hakuna kuwapa.wao si wanaviburi.Siyo vizuri, hawa ni watani, tuwape nafasi ya kucheza mechi za kimataifa.
Si wanajifanya viburi hawa ngoja tuwafundishe leo.
naona lines men wako kazini piaZilipendwa
nachomoa na kukupiga unahangaika tu ni suala la mudaHakuna tabu we chomoa tu tuanze upya.
Nyie tena kwa kulalamikanaona lines men wako kazini pia