Nusu Fainali Azam Sports Federation Cup: Simba 4-1 Yanga uwanja wa Taifa Dar es salaam

Nusu Fainali Azam Sports Federation Cup: Simba 4-1 Yanga uwanja wa Taifa Dar es salaam

ni muda mrefu sijawahi kuangalia mpira wa yanga na simba, leo naagalia kupitia azam, kusema ukweli mpira wa kitanzania bado hujakuwa, sijui kwa nn hawabadiliki wabongo ! pamoja na kuajiri makocha wazuri lkn tabia zilezile za kizamani!!sijui kwa nn!!
kwa nn mchezo wa mpira kwa wachezaji wetu haubadiliki?!/haukui ?!

Mpira wa Africa kwa ujumla haubadiliki, tena nadhani unazidi kushuka kiwango.
 
refa naona yuko kazini kumpa moro kadi nyekundu.

huwezi toa faulo, kadi kwa mtu aliye ingia kukaba amekunja miguu
 
ni muda mrefu sijawahi kuangalia mpira wa yanga na simba, leo naagalia kupitia azam, kusema ukweli mpira wa kitanzania bado hujakuwa, sijui kwa nn hawabadiliki wabongo ! pamoja na kuajiri makocha wazuri lkn tabia zilezile za kizamani!!sijui kwa nn!!
kwa nn mchezo wa mpira kwa wachezaji wetu haubadiliki?!/haukui ?!
Fafanua haubadiliki vipi? huenda tukawa na majibu
 
sijui ushirikina umeewathiri wachezaji wetu!!
sijui kwa nn hawataki kuwa wabunifu kwa kuiga timu zilizo wazidi uwezo
 
Haya watani kabadilisheni mbinu mrudi tena
 
Back
Top Bottom