zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
umemuathiri refa pia naona hajui anacho fanyasijui ushirikina umeewathiri wachezaji wetu!!
sijui kwa nn hawataki kuwa wabunifu kwa kuiga timu zilizo wazidi uwezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umemuathiri refa pia naona hajui anacho fanyasijui ushirikina umeewathiri wachezaji wetu!!
sijui kwa nn hawataki kuwa wabunifu kwa kuiga timu zilizo wazidi uwezo
anaokoaaaaaaaaaa haaa haaaMolinga anaugua kichaa hapa 😂😂
na mkude ashiriki nn mkuu maana naona matumizi ya nguvu kwa morison ni kubwa
kwani vile vyumba hamjapulizia dawa mkuu sio tubadiri mbinu kumbe vyumba msha fanya mambo yenu yale ya kupuliziaHaya watani kabadilisheni mbinu mrudi tena
Shukrani mkuu..
Hawa leo tunao ila goli moja haliwatoshi
wanagongwa hawaHawa Vyura ni Wendawazimu 😣😣
Mmeanza utopolo wenu eeh, vyura bana!!kwani vile vyumba hamjapulizia dawa mkuu sio tubadiri mbinu kumbe vyumba msha fanya mambo yenu yale ya kupulizia
wanagongwa hawaHawa Vyura ni Wendawazimu 😣😣
ila apunguze michezo yake anapoteza mipira,halafu anaaibisha Yanga watamjeruhiMpira anaoupiga
Miquissone ni mpira na nusu.
kwa akili hizi ukipewa tff unaweza toa pointi kwa timu inayomiliki mpira hata ipigwe 10ushabiki tu hawezi kusaidia bila kuona viwango vya wachezaji wetu vikipanda, mm naangalia team inavyo shirikiana ktk mchezo na akili ikitumika,
sijui kwa nn
ni muda mrefu sijawahi kuangalia mpira wa yanga na simba, leo naagalia kupitia azam, kusema ukweli mpira wa kitanzania bado hujakuwa, sijui kwa nn hawabadiliki wabongo ! pamoja na kuajiri makocha wazuri lkn tabia zilezile za kizamani!!sijui kwa nn!!
kwa nn mchezo wa mpira kwa wachezaji wetu haubadiliki?!/haukui ?!
hahahaha hii inachekesha kwa mpira upi mbona zaidi ya mipira 4 imekuwa blocked kwakeila apunguze michezo yake anapoteza mipira,halafu anaaibisha Yanga watamjeruhi
Kwetu Yanga hii mechi haipo vizuri, hii half time nimeazimia kwenda kabandua wife wa shabiki mmoja wa Simba ana kelele sana hapa... Naondoka mdogomdogo endeleeni kutupa update
Kabisa kabisa,ngoja tuone kipindi cha pili itakavyokuwa lazima tuwaongezeKabisa, tungewapatia hata 3 zingewatosha sana.