Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
unajivika miwani ya mbao ama muamala tyrNyie tena kwa kulalamika
Yupo sema yupo na kaka mkuu WawaIvi Molinga kagusa mpira mingapi ππππ
Bora wapewe namungoSiyo vizuri, hawa ni watani, tuwape nafasi ya kucheza mechi za kimataifa.
Sawa kaa hapo hapo usikimbienachomoa na kukupiga unahangaika tu ni suala la muda
Bora wapewe namungo
nilichoona kafanyiwa faulo 4 sijajua kama anafanyiwa faulo bila ya kuwa na mpiraIvi Molinga kagusa mpira mingapi ππππ
Salama Kaka..Mkuu salama?
Sijakuona muda sana humu.
itakuwa ajabu kukimbia timu ndogo kama hiiSawa kaa hapo hapo usikimbie
nilichoona kafanyiwa faulo 4 sijajua kama anafanyiwa faulo bila ya kuwa na mpira
itakuwa ajabu kukimbia timu ndogo kamaSawa kaa hapo hapo usikimbie
Salama Kaka..
Ni kweli nilipotea kwa muda kuna mambo yalinibana mkuu.
Leo nimerudi tusherehekee kuifunga Yanga si unaona tunavyowanyanyasa!!?