Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
ni muda mrefu sijawahi kuangalia mpira wa yanga na simba, leo naagalia kupitia azam, kusema ukweli mpira wa kitanzania bado hujakuwa, sijui kwa nn hawabadiliki wabongo ! pamoja na kuajiri makocha wazuri lkn tabia zilezile za kizamani!!sijui kwa nn!!
kwa nn mchezo wa mpira kwa wachezaji wetu haubadiliki?!/haukui ?!
hadi leo hatuna sport academy?!
tunashuhudia mchezo wa kizee kabisa
refa naona yuko kazini kumpa moro kadi nyekundu.
huwezi toa faulo, kadi kwa mtu aliye ingia kukaba amekunja miguu
haswa wa kitanzania, huwezi fananisha hata na kiwango cha majirani zetuMpira wa Africa kwa ujumla haubadiliki, tena nadhani unazidi kushuka kiwango.
Fafanua haubadiliki vipi? huenda tukawa na majibuni muda mrefu sijawahi kuangalia mpira wa yanga na simba, leo naagalia kupitia azam, kusema ukweli mpira wa kitanzania bado hujakuwa, sijui kwa nn hawabadiliki wabongo ! pamoja na kuajiri makocha wazuri lkn tabia zilezile za kizamani!!sijui kwa nn!!
kwa nn mchezo wa mpira kwa wachezaji wetu haubadiliki?!/haukui ?!
labda kwenye ps ila kwa nyau hawa wanalia 2-1Fraga akitulia hawa Vyura tunawapiga 8 kwa Mtungi
na mkude ashiriki nn mkuu maana naona matumizi ya nguvu kwa morison ni kubwaMwambie akashiriki Judo kwenye mashindano ya Olympic
Shukrani mkuu..Sana, hawa jamaa walizidi sana kutamba na goli lao la Morrison.
Leo tunamaliza ubishi.
Karibu tena.