Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good MorningSimba itashinda goli 4 kama benchi la ufundi wakitambua makosa yao.
Good Morning45dk simba 2 yanga 0
90dk simba 4 yanga 1
kwenu studio
Daah!! Ila ndo soka bana Mtani.
Nawaza vile namna unajisikia leo Mtani. Lol.
Kagame kumbe unaezaga utangazaji eee. Mana si kwa updates hizi.simba 3-0 yanga
Mwana kulitaka mwana kulipata! Siku zote tunawaambia Lunyasi levo nyingine jamani,hamuelewi., kisa kina sangoma wanawapa jeuri ya uongo na kweli eti mkiroga kama kawaida yenu basi mtaambulia japo sare!!!🤣🤣🤣Sesten Zakazaka haya mida hii ya kuja kutupigia zogo imefika. 😎
Kalijengeni tu kwa kweli. Mi naumwa leo. 😅😂😂😂Leo Taifa tutalijenga vizuri sana Shadeeya🤣🤣🤣
Sema mmetubahatisha tu. 😎😎M
Mwana kulitaka mwana kulipata! Siku zote tunawaambie Lunyasi levo nyingine jamani,hamuelewi., kisa kina sangoma wanawapa jeuri ya uongo na kweli eti mkiroga kama kawaida yenu basi mtaambulia japo sare!!!🤣🤣🤣
Watu jana wameamua kufungua kitabu, tena zile kurasa za mwanzomwanzo tu, Chura FC si kupoteana huko mpaka yule mtembea juu ya mpira kashindwa kuvumilia aibu kaamua kusepa kabisaa🤣🤣🤣
Huwa mkifungwa mnasema ndio soka lilivyo, endeleeni kujisifu kwa ile tarehe 8Daah!! Ila ndo soka bana Mtani.
Tunaganga yajayo sasa.
Hivi kwanza matokeo ya jana unayajua Shadeeya maana inawezekana TANESCO walikata umeme, si unajua tena hawa jamaa walivo na makusudi?Kalijengeni tu kwa kweli. Mi naumwa leo. 😅😂😂😂
Ile haiezi futika Mtani. Hivyo haituzuii kutokujisifu.Huwa mkifungwa mnasema ndio soka lilivyo, endeleeni kujisifu kwa ile tarehe 8
Ila si ni kweli kwamba ndio soka Mtani?Huwa mkifungwa mnasema ndio soka lilivyo, endeleeni kujisifu kwa ile tarehe 8
Tulishaingia cha kike pale Mtani. noweiauti.Kitu pekee anaweza kupanda ni jukwaa na sio mpira tena
Mtaanzia wapi wakati ni goli 1 dhidi ya magoli yetu ya janaIle haiezi futika Mtani. Hivyo haituzuii kutokujisifu.