Nusu Fainali Azam Sports Federation Cup: Simba 4-1 Yanga uwanja wa Taifa Dar es salaam

Nusu Fainali Azam Sports Federation Cup: Simba 4-1 Yanga uwanja wa Taifa Dar es salaam

Tuyagange tu mtani ila hapo bado hakuna timu. Sisi tumewekeza sana jipangeni kama miaka miwili hivi
Hakika usemacho Mtani yaani kama tulivyosajili watu zaidi ya kumi ile season ya 2019 / 2020 inaanza ndo kitakachofanyika mwishoni mwa msimu.

Ambapo athari zake zinakuwa kubwa mno mojawapo ikiwa timu kukosa muunganiko.

Hivyo kama usemavyo bado tuna misimu miwili au mitatu kuja kupata kikosi kilicho bora ndani ya timu ya Wananchi.
 
Nimekumbuka mchezo wa kuchezea matope enzi unafurahi kwa muda mrefu na watoto wenzako ila ukirudi nyumbani huzuni maana adhabu ya mboko inakusubiri
Yanga ni mtoto aliyecheza na matope furaha ni ya muda tu
 
Nimekumbuka mchezo wa kuchezea matope enzi unafurahi kwa muda mrefu na watoto wenzako ila ukirudi nyumbani huzuni maana adhabu ya mboko inakusubiri
Yanga ni mtoto aliyecheza na matope furaha ni ya muda tu
 
Mtani kama nilikuona jana ulivyotia huruma..

Hvi Morrison mtaendelea kumuomba msamaha!?!
Acha kabisa halafu home kwangu wote nguvu moja na wote walivaa jezi. Uwiiiii!! Ilibidi niwe kapole tu mana si kwa kelele lile.

Lait viongozi wa Yanga wangekuwa na akili kama zangu angefungashiwa virago akasepa mana anatudhalilisha sana ujue.
 
Nimekumbuka mchezo wa kuchezea matope enzi unafurahi kwa muda mrefu na watoto wenzako ila ukirudi nyumbani huzuni maana adhabu ya mboko inakusubiri
Yanga ni mtoto aliyecheza na matope furaha ni ya muda tu
 
Back
Top Bottom