Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Mechi Inayoanza ni Kati ya Mtibwa na JKU (10;00 Jioni) na itafuatiwa na Simba VS Polisi Zenji (2.15 Usiku)
Kwa kuwa leo ni weekend , natarajia Updates toka kona mbalimbali za wana JF wakiongozwa na Msemaji Mteule kwa Mkopo wa Simba humu JF -Makoye Matale akisaidiwa na Mkolaj
Kwa kuwa leo ni weekend , natarajia Updates toka kona mbalimbali za wana JF wakiongozwa na Msemaji Mteule kwa Mkopo wa Simba humu JF -Makoye Matale akisaidiwa na Mkolaj