Nusu ya wasanii wa Bongo fleva ni mashoga asema Chidy Benzi

Nusu ya wasanii wa Bongo fleva ni mashoga asema Chidy Benzi

Inasikitisha sana mtoto w kiume kulegeza macho na kulamalamba lips... lazima kuna namna nyuma hapako sawa.
Hapa ndio umebugi kabisa. Hao ni marioo kweli kweli. Hadi mama yako wanamchuna. Hujui kitu
Marioo manake ni mwanaume anaejiuza hasa kwa wamama, pesa ikikaa mezani huyu mtu anauza malinda hawana akili hawa.
 
Inasikitisha sana mtoto w kiume kulegeza macho na kulamalamba lips... lazima kuna namna nyuma hapako sawa.

Marioo manake ni mwanaume anaejiuza hasa kwa wamama, pesa ikikaa mezani huyu mtu anauza malinda hawana akili hawa.
Marioo hauzi marinda. Muuza maarinda ni shoga au chawa aliyeishiwa.
Marioo akikosa wamama anakua king'asti. Elewa.
 
Inasikitisha sana mtoto w kiume kulegeza macho na kulamalamba lips... lazima kuna namna nyuma hapako sawa.

Marioo manake ni mwanaume anaejiuza hasa kwa wamama, pesa ikikaa mezani huyu mtu anauza malinda hawana akili hawa.
Hawa wasanii waganga wao wanataka wafanye hivyo kula na kuliwa ili waendelee kusikika
 
Mraibu wa dawa za KULEVYA ni sawa na mtu asiye timamu kiakili.

Si sawa kutumia kauli za mtu wa aina hiyo kama reference.

Uzi ufuatwe🙏
 
Back
Top Bottom