Nusu ya wasanii wa Bongo fleva ni mashoga asema Chidy Benzi

Nusu ya wasanii wa Bongo fleva ni mashoga asema Chidy Benzi

Wazee tunakoelekea haya mambo itakuja kuwa sio Ajabu tena huwezi Amini. Hii hali inaenea kama moto wa nyika tufikirie namna ya kuchukua hatua haraka
 
Alisemaga Dudu Baya na majina akataja watu wakamuona chizi, aya leo kasema Rasheed.

Hii tasnia ukiifatilia na ukayajua yaliyomo utasikitika sana, Fid anakwambia " Mjinga utashangaa kuona Martin Kadinda ".
 
Katika hao wawili wewe ni yupi? Maana umejitetea kweli kweli.
Nadhani hii ni forum kila mtu anatoa opinion kutokana na mazingira aliyokuwepo au kuyaona.
Kwahiyo si kujitetea bali kueleza jinsi navyofahammu kwa uchache.
Kuongelea ushoga haina maana wewe ni shoga ila unatoa ufahamu wako. Kama ilivyo kuongea siasa na wewe si mwanasiasa.
Asante.
 
Dunia inatumaliza hii, kila mmoja anaisha kwa staili yake tizama mwingine mlevi tu wa pombe, mwingine ye asione mwanamke kamtaka, mwingine ndo unga, mwingine ndo kawa msenge, mwingine ye raha yake kupiga nyeto, dah yani tafrani kama nini mpka mtu ukikaa unajisemea bora lije gharika tu mchezo uishe tu.
 
Hali inatisha, Bongo umagharibi umetanda Chidi asipuuzwe
 
Kuna shoga mmoja mtaani kwetu alisema"CHID ANA BONGE LA B*RO"akimmanisha chid benz so huenda ni michezo yake anaijua vizuri
😳😳

Ilikuwaje kuwaje mpaka ukakaa na kuongea na shoga mambo hayo, we ni ke?
 
Marioo hauzi marinda. Muuza maarinda ni shoga au chawa aliyeishiwa.
Marioo akikosa wamama anakua king'asti. Elewa.
Huyo kusah ni GAY, na uliza nani alimuunganisha kwa Aunt,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Lol
 
Back
Top Bottom