Nusura nife asubuhi ya leo

Nusura nife asubuhi ya leo

Yaani mpaka leo watu hawajajua kwamba Litutumbwe na Chizi Maarifa ni ndugu wa tumbo Moja
 
kumbe na wewe mkongwe. Alikuw anakul karanga kwapani😀 mara nyingi unamkuta na karanga
Mkuu huyo jamaa alikua na mdomo kwapani!!! Kivip yaan? Na panapotakiwa kuwa na mdomo kulikua na nn? Alikua havai shati mpaka muone mdomo kwapani?
 
Mkuu huyo jamaa alikua na mdomo kwapani!!! Kivip yaan? Na panapotakiwa kuwa na mdomo kulikua na nn? Alikua havai shati mpaka muone mdomo kwapani?
huyu konda ukisimuliw unaweza fikiri masikhara..Alizaliwa na mdomo kwapani na hata karanga alikuw anazirushia kwapani anatafunia
 
kaka litutumbwe , hiyo Pia kudondoka, kwahiyo kabisa Ilivodondoka, ukajishika pua ukajiona haipo kabisa? Na mgongo umepinda? Ila ni wewe tu ndo unaona Hilo Mkuu?.
Amini kwamba... mambo haya yanatisha mno kaka Carlos,sema naongea na ndiyo maana yanaonekana marahisi...
 
Inafikiri ataniua kwa njia ipi? Sumu kwenye chakula(angeacha alama na hawezi kuwa mjinga hivyo)? Kupitia mganga(hakuna mganga wa kuniroga Africa yote)? Unafikiri angeniuaje?
Akikukosa njia zote anakutumia hata majambazi, shukuru tu huyo mkeo ni mstaarabu. Jichanganye upate kama cute wife ndio utaelewa
 
Akikukosa njia zote anakutumia hata majambazi, shukuru tu huyo mkeo ni mstaarabu. Jichanganye upate kama cute wife ndio utaelewa
Countrywide nikuulize swali dogo... hivi mbona watu wazito mfano Marais huwa hawauawi na wake zao? Badala yake why wauawe watu wa kawaida including walalahoi?
 
Back
Top Bottom