Nusuru ndoa yangu

Nusuru ndoa yangu

Mkuu pole sana na chukua hii kama itakusaidia.

Kama kweli yupo kwako Kwa ajiri ya family hyo mkeo nakushauri vizia na uuze Kila kitu kwenye kibanda hicho halafu kaa kimyaa.

Iwapo utaona kuanzisha Tena basi jua wazi yupo mwingine zaidi Yako anayeheshimiwa na kupewa heshima yote.

La mwisho na LA muhimu sana

MWANAMKE SIO MAMA YAKO. KWANINI UTESEKE? make it this sentence in English language
Ww jamaa hiyo profile picha yako inanifanya nishindwe hata kusoma michango yako!
 
Nyie watu tunawaonya humu kwenye nyuzi mbalimbali ila hamuzingatii.
Mwanamke usimkabidhi biashara, mweke kama muuzaji tu.
Sasa ameshaona anaweza kuishi bila wewe.
Mwanamke akiwa na uhakika wa kuweza kuishi bila mwanaume hapo ndoa inakuwa haipo bali mutaishi kimazoea tu.
Hapo vizia upige moto hako la fremu au utumie wahuni wakwapue kila kitu . Then baada ya mwezi mwache huyo nguchiro
ushauri mzuri
 
Ni rahisi sana tu, mkabidhi Kwa Mungu na atamnyoosha Kwa style inayomfaa. Humu JF utatengenezewa stress. Mungu kakupa mtihani, mrudie, mwambie mtihani huo ni mgumu sana unahitaji majibu Kwa Msaada wake… toa ombi hilo kila siku saa 9 usiku Kwa siku 7 mfululizo bila kuchoka Halafu ulete mrejesho humu ndani..
Aisee watu wema kumbe bado mpo bhana 😀 😀
 
Mimi ni muajiriwa katika sekta ya umma mke wangu sio mwajiriwa yaani ni mama wa nyumbani. Tuko kwenye ndoa ya kikristo kwa miaka 14 na tumejaaliwa watoto.

Ili kupunguza ukali wa maisha na kuondoa utegemezi kwa mambo madogo madogo, niliamua kufungua kibanda cha duka na kumkabidhi mke wangu ili kisaidie kwa baadhi ya mahitaji muhimu ya nyumbani huku Mimi nikitumia sehemu ya mshahara kuwekeza kwenye maeneo mengine ya maendeleo.

Ni mwaka mmoja na miezi kadhaa imepita tangu nimfungulie mke wangu biashara lakini jambo la kusikitisha ni kuwa sioni tena faida ya kibanda kile maana mke wangu anabadilisha aina za nguo na marashi huku nikimuuliza anadai kuwa ananiheshimisha kwa watu. Pia ananitangaza kwa ndg na jamaa zake kuwa sitoi matumizi yeye ndiye anayetoa matumizi.

Tumekaa vikao kadha wa kadha tukihusisha ndg zetu lakini haonekani kubadilika na kikao cha mwisho alitamka kuwa mtaji wangu umeishahivyo uliomo ni wa kwake.

Hali hii imesababisha migogoro ya mara kwa mara na sioni tena raha ya ndoa.

Pia hali hii imenijengea tabia ya kumchukia mke wangu mara kwa mara ninashikwa na hasira hata bila sababu ya msingi japo kiukweli Sina nia ya kuvunja ndoa yangu bali ninahitaji mke abadili tabia.

Ninaomba ushauri ili kunusuru ndoa yangu.

Ahsanteni.


Sema tu wanaume wengi sio waongeaji wa yale wanaofabyiwa na wake zao.
Lakini wanaume wnanyanyasika mno na wake zao majumbani humo.
Wengine hadi wanaumwa magonjwa sababu ya msongo wa mawazo toka kwa wake zao.

Wanaume hawasemi kwa wazazi wao wala ndugu zao ili kuepusha makele zaidi lakini kiukweli nyakati hizi wanaume wanateswa mno na wake zao.

Utakuwa chanzo na Pesa na mali ni za Mwanaume huyo lakini mke haambiliki 👌👌👌
 
Mimi ni muajiriwa katika sekta ya umma mke wangu sio mwajiriwa yaani ni mama wa nyumbani. Tuko kwenye ndoa ya kikristo kwa miaka 14 na tumejaaliwa watoto.

Ili kupunguza ukali wa maisha na kuondoa utegemezi kwa mambo madogo madogo, niliamua kufungua kibanda cha duka na kumkabidhi mke wangu ili kisaidie kwa baadhi ya mahitaji muhimu ya nyumbani huku Mimi nikitumia sehemu ya mshahara kuwekeza kwenye maeneo mengine ya maendeleo.

Ni mwaka mmoja na miezi kadhaa imepita tangu nimfungulie mke wangu biashara lakini jambo la kusikitisha ni kuwa sioni tena faida ya kibanda kile maana mke wangu anabadilisha aina za nguo na marashi huku nikimuuliza anadai kuwa ananiheshimisha kwa watu. Pia ananitangaza kwa ndg na jamaa zake kuwa sitoi matumizi yeye ndiye anayetoa matumizi.

Tumekaa vikao kadha wa kadha tukihusisha ndg zetu lakini haonekani kubadilika na kikao cha mwisho alitamka kuwa mtaji wangu umeishahivyo uliomo ni wa kwake.

Hali hii imesababisha migogoro ya mara kwa mara na sioni tena raha ya ndoa.

Pia hali hii imenijengea tabia ya kumchukia mke wangu mara kwa mara ninashikwa na hasira hata bila sababu ya msingi japo kiukweli Sina nia ya kuvunja ndoa yangu bali ninahitaji mke abadili tabia.

Ninaomba ushauri ili kunusuru ndoa yangu.

Ahsanteni.


Mimi Mungu anisaidie tu lakini nitahakikisha sikai mbali na watoto wangu wa kiume 👌👌

Kwanini mwanamke atakae kuja kmtawala Mwanaume ?

Tena umtawale kwa Hela zake za jasho lake mwenyewe?

Ukija kwa hila na nia obu ya kuchuma Pesa na mali utaondoka,

Badała ya kuwa chanzo cha Furaha na amani kwa mumeo inakuwa kinyume chake?

Hapana.

Wanawake wengine wanajaa laana vinywani nwao kulaani watoto wa watu na kitajami yawaoate mabaya,

Ndio maana kwenye misiba wanawake siku hizi hawalii wakifiwa na wenzi wao, Wakilia ni unafiki.

Yaani mwanamke hahofii kiwa mjane ?

Uchawi huo.
 
Kidato cha kwanza tulisoma hesabu za simultaneous equation na kuna njia 2 za kusolve japo zingine pia zipo.

1. Elimination method.
Hapa mkuu kama ni biashata ndio imeleta hizo changomoto, simole ,eliminate the causative, ua hiyo biashara arud kuwa mama wa nyumbani, nyang'anya mtaji woote il kama anataka sana biashara aanze yeye kivyake kama asipokusikia wewe baba mwenye nyumba, na aanze hiyo biashara kwa kukiuka katazo lako na hapo Taraka ifuate. Huwez ishi na mwanamke asiye kutii na ukaiota hiyo ni ndo

2. Substitution method.
Hapa kama hutaki kuua biashata na kutagua tatizo by elimation , baa apply substitution. Kama bado unaipemda biashara, muavhise na badili mtu wa kusimamia hiyo biashara ili hizo pesa za ku support life ziendelee ku flow lakin ukiwa ume substitute mkeo na mfanya kazi.

sIo lazima uwe muhasibu ndio uishi kwa kutukia hesabu, zina matukiz mengi.

Pyaar tia neno
 
Back
Top Bottom