Kuna bro alioa demu,demu akawa na kazi ya utumishi,bro akapanda cheo,kufika sehemu mafuso yakanunuliwa,na demu akawa na uhakika wa jumba la kifahari na mafuso ya mchanga yanaleta laki tatu kwa siku,yule manzi si kamuwangia jamaa hainuki kwenye wheel chair mwaka wa kumi sasa na mbususu hawezi kula anakula kwa macho tuu.mwanamke amegeuka meneja wa familia. bro anabaki kuita tuu jina,na mwangalizi ni ndugu wa mwanaume,Hawa watu weka mbali na watotoInawezekana
1. Umeoa fukara na sasa kapata uhuru wa kifedha.
2. Umeoa mjinga na sasa kapata pesa ndio wauona ujinga wake.
3. Ulikuwa unamnyanyasa wakati hana pesa, na sasa kapata pesa ni muda wa kulipiza kisasi.
Hitimisho, katika yote hayo juu umeoa mwanamke asiyekuheshimu/asiyekutii...