Uchaguzi 2020 Nyalandu kwa Interview hii umepoteza uhalali wa kumkabili Dkt. Magufuli kwenye uchaguzi wa Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 Nyalandu kwa Interview hii umepoteza uhalali wa kumkabili Dkt. Magufuli kwenye uchaguzi wa Oktoba 2020

Hiyo ndio siasa hata huyo Lissu alikula matapishi yake kwa Lowassa.
 
Kuna wakati alisema alihama CCM kuja Chama kidogo CHADEMA ni maamuzi magumu.Anaamini wazi CCM itapita
 
Yani neno baba tu ndio limekupa tabu hivyo? Mboma kawaida tu...
 
You just don't get it!

The main point hapa siyo kwamba Nyalandu ameportray heshima kwa rais bali ameportray uogauoga kwa Magufuli, na uoga huzaa unafiki na unafiki. huzaa uharibifu katika nchi!

Hatuhitaji mtu muoga muoga kusimama kumchallenge Magufuli kwenye uchaguzi wa October 2020

Unaweza kuimagine Biden amuite Trump "our father Trump"?

Nakuhakikishia Lissu kamwe hawezi kusimama na kutoa heshima ya nidhamu ya uwoga kama hiyo ya kumuita Magufuli Baba!

Kauli ya Nyalandu is too timid, too lame, hypocritical. Na hizo siyo sifa zinazomfaa mtu kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
upinzani sio ugomvi wala uadui na siasa sio matusi au kutukanana hovyo hovyo ni sera na hoja tu.
 
upinzani sio ugomvi wala uadui na siasa sio matusi au kutukanana hovyo hovyo ni sera na hoja tu.

Imagine Nyalandu akiwa mgombea kwa tiketi ya Chadema kisha kwenye kampeni majukwaani aendelee kumuita kwa jina la "Baba yetu" uone kama hajaishia kupata kura za yeye na familia yake!

Zipo kauli za kuonyesha heshima lakini haipaswi kwa mgombea kutoa kauli zinazoashiria utiifu wa kupita kiasi kwa mgombea mwingine, akifanya hivyo automatically watu wanaresonate zaidi na yule anayepewa utiifu zaidi kuliko huyu anayejaribu kumchallenge!

Words are powerful!

You just don't use submissive words when you are challenging someone
 
Imagine Nyalandu akiwa mgombea kwa tiketi ya Chadema kisha kwenye kampeni majukwaani aendelee kumuita kwa jina la "Baba yetu" uone kama hajaishia kupata kura za yeye na familia yake!

Zipo kauli za kuonyesha heshima lakini haipaswi kwa mgombea kutoa kauli zinazoashiria utiifu wa kupita kiasi kwa mgombea mwingine, akifanya hivyo automatically watu wanaresonate zaidi na yule anayepewa utiifu zaidi kuliko huyu anayejaribu kumchallenge!

Words are powerful!

You just don't use submissive words when you are challenging someone
haya bwana
 
Lisu hana breki huwa analipuka lipuka tu kama volcano.
 
Inaweza kuwa na maana ya 'Baba Yetu' anaye sifiwa na kutukuzwa ktk siasa za Tanzania hadi tunaona baadhi ya raia wateuliwa wakiinamisha vichwa vyao kama ishara ya kumsujudu 'Baba Yetu ' (Mungu wa Kisiasa wa CCM ) hata kabla ya Covid-19 kugundulika huko Wuhan China .

Tunaona ma Don wa Mafia, wafuasi wao hubusu kiganja cha Bwana Mkubwa kuonesha ishara ya kujishusha chini mbele ya Bwana Mkubwa.

Hili la sasa hapa Tanzania la baadhi ya watu wanaoteuliwa kuinamisha vichwa kusujudu mamlaka ya kisiasa ya Baba Yetu sijui ni utamaduni wa kutoka wapi.
 
We must be serious,, yaani kuna mtu huko anafikiria Nyalandu anafaa kuwa Rais wa nchi hii....?
 
Nduguzanguni wachadema,jifunzeni kuwa flexible,,msishupaze sana shingo zitavunjika,😂😂
na mtaka cha uvunguni sharti ainame,,sasa bila kyinama unakipataje?.
ulitaka amwite jpm bepali,au jina baya halafu katika hali kama hii utegemee utagombea kwa raha,
mjifunze kulainisha lugha panapobidi ili mpate m achokitaka,
 
Nimetoa kwenye listi yangu baada ya kugundua ni too submissive
He can't deserve that position, hata uwaziri ulimshinda.... It was nepotism tuu ila Hutu jamaa hafai. Nadhani CDM watulie na wafanye uamuzi ama Lissu au Mbowe otherwise wasajili external individual kama vile Member na wengineo..
 
Nduguzanguni wachadema,jifunzeni kuwa flexible,,msishupaze sana shingo zitavunjika,😂😂
na mtaka cha uvunguni sharti ainame,,sasa bila kyinama unakipataje?.
ulitaka amwite jpm bepali,au jina baya halafu katika hali kama hii utegemee utagombea kwa raha,
mjifunze kulainisha lugha panapobidi ili mpate m achokitaka,

Amuite Rais Magufuli, au mheshimiwa rais siyo kumuita Baba yetu!

Kumuita baba ni kujiweka katika utiifu kwake badala ya kumheshimu tu!

Mgombea urais hapaswi kuwa "mtoto" mtiifu kwa mgombea urais mwenzie bali anapaswa kumpa hwshima tu kutokana na utu wake na hadhi ya cheo chake!

Akizoea kumuita baba yetu, atarudia kumuita baba yetu kwenye majukwaa ya kampeni na watu watamuona kama anaousound like a "Sissy"
 
Nimesikiliza mahojiano baina ya Mtia nia wa kugombea uraisi wa Chadema ndugu Nyalandu na kituo cha redio cha wasafi.
Nyalandu ameulizwa swali kuhusu Twiga waliokuwa wakitoroshwa nje ya nchi kwa kupandishwa ndege.
Katika majibu yake Nyalandu anaonyesha kujibu huku akimrefer raisi Magufuli kama "Baba yetu".

Sikutegemea kusikia mgombea uraisi mmoja akimuita mgombea uraisi mwingine, wa chama kingine, tena wanaokaribiana umri kama "Baba"

Kauli hii ukiitafsiri kiundani, unaona wazi kuwa Nyalandu kamwe hawezi kuita sepetu ni sepetu pindi kama akiteuliwa kuwa mgombea, Kiufupi imemuonyesha Nyalandu kama mtu mwenye nidhamu ya woga, laini laini sana kuweza kupambana na rafu za Magufuli kwenye kampeni.

Lakini kitu kingine ni dhahiri Nyalandu kwa kauli hii ya kumuita mshindani wake "Baba" kamwe hatoweza kumshughulikia kwa matendo yake ya kuvunja sheria na katiba na maamuzi ambayo kayafanya nje ya utaratibu wa majukumu halali ya uraisi pindi akitwaa dola. Je ni nani anayeweza kumpeleka baba yake mahakamani?

Pengine mtu unaweza kusema kuwa Nyalandu alikuwa akijaribu kuwa muungwana au kufanya siasa za kistaarabu, Jivi siasa za kistaarabu ndo umuite rais aliyeko madarakani baba yako?, Kama unamheshimu kiasi cha kumuona kama baba yako kwa nini sasa uchukue fomu kumtoa madarakani?

Hizi tabia za wanasiasa kuleta mambo ya ubaba na umama katika kazi ndiyo mwanzo na wenyewe wakishika madaraka kutaka wapewe ufather au waonekana kama mababa ambao maamuzi yao hayapaswi kupingwa. Ndiyo maana nashangaa Mtia nia wa kugombea urais wa Chadema ndugu Nyalandu anamuona raisi Magufuli ambaye ni mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi kama baba!

Hata kwenye chama cha Mapinduzi, Rais na mwenyekiti wao hawamuiti baba huwa wanamuita ndugu, Iweje leo Mgombea wa Chadema ampe heshima ya ubaba mtu ambaye hata chama chake hakijawahi kumuita hivyo?

Nyalandu kama unamuita Magufuli ni baba yetu, ya nini sasa wewe utake kumchallenge baba?

Au unaogopa Magufuli asifukue madudu yako ulipokuwa serikalini akakushughulikia?

Mtu anayepaswa kumchallenge Magufuli ni mtu shupavu, asiye na nidhamu ya woga, mtu asiye softsoft, mtu mwenye kumuona Magufuli kama rais na siyo baba yetu.

Kwa sasa sijaona mgombea mwenye ujasiri huo wa kutosha kabisa kabisa kama Tundu Lissu na Bernard Membe

Sitegemei kumsikia Lissu au Membe wakimuita Rais Magufuli kuwa ni baba yao, kufanya hivyo ni nidhamu ya woga, kujilegezalegeza mbele ya mgombea wa chama kingine.

Hapa anaenda na Polar Opposite Theorem

Magufuli ni vurugu,na wanadamu kiasili hawapendi vurugu

Yeye anaenda opposite kabisa,kwenye upande wa "ustaarabu"...straight up.

Ni kama CDM,wameona opposite ya Low ni High

Na infact wana score points whether you like it or not...

Kama Magufuli ameenda Low kwa mavurugu,opposition wanaenda High kwa ustaarabu,wananchi ndio watachagua kwenye mioyo yao.

Magufuli ana mavurugu sababu ana government apparatus,kum-neutralize ni kwenye uwanja wa "ustaarabu" na wala sio fujo maana kiasili wananchi hawapendagi fujo na wote mkipenda fujo mtaonekana vichaa wote na hakuna atakae-win anything from anybody.

Kuna points wana score hapa.
 
Amuite Rais Magufuli, au mheshimiwa rais siyo kumuita Baba yetu!

Kumuita baba ni kujiweka katika utiifu kwake badala ya kumheshimu tu!

Mgombea urais hapaswi kuwa "mtoto" mtiifu kwa mgombea urais mwenzie bali anapaswa kumpa hwshima tu kutokana na utu wake na hadhi ya cheo chake!

Akizoea kumuita baba yetu, atarudia kumuita baba yetu kwenye majukwaa ya kampeni na watu watamuona kama anaousound like a "Sissy"
When you are strong appear weak,
When you are far,make it like you are near,
When you are in control appear like you are submissive,

The art of war,
 
Hawa watu hawajifunzi tu NYALANDU nae ni mpinzani pia?
 
Back
Top Bottom