Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
una friji? kama YES, weka tangawizi kitunguu na chumvi kisha chemsha usiweke majai. hifandhi
NO. basi hakikisha nyumba yako haina joto na usiunge na kuweka chumvi
Kama huna friji na ushaiunga nyama yako hiyo then hakikisha sufuria yenye nyama hiyo iliyobakia huifuniki iaache wazi mpaka kesho nakuambia utakuta nyama yako bado fresh
Nilijua ni ile nyama nyingine inayoliwa faragha.
Nilijua ni ile nyama nyingine inayoliwa faragha.
kwa hyo,kwa hii hauna msaada wowote
Hebu tuambie swali lako lina maana gani? Usituchoshe akili na joto lote hili
Kwa uelewa wako kweli ile inayoliwa faraga inakaa kwenye fridge, kafie mbali huko huenda ushalewa upo chakari ndo maana unaongea pumba kwenye issue za maana
Kwa uelewa wako kweli ile inayoliwa faraga inakaa kwenye fridge, kafie mbali huko huenda ushalewa upo chakari ndo maana unaongea pumba kwenye issue za maana
Mbona sioni kama ameongea pumba...kwanza mleta mada hapa si mahala pake..Angepeleka kula Jukwaa la mapishi....Hata mm nilidhani ni ile nyama ingine kutokana na mada kuwa si mahala pake..
sawa,nimekosea lkn naombeni msaada wa tatzo langu jamani
Mkuu hapa unapoteza muda...watu hawatakupa msaada....Hebu nenda kule jukwa la mapishi utapata kila kitu....
ila kuna siku 2liacha kutoifunika,mambo yakawa yale yale
Kama hamuoshi vizuri sufuria hilo nalo huwa ni tatizo kwa chakula.
mende na panya je!!!!!Kama huna friji na ushaiunga nyama yako hiyo then hakikisha sufuria yenye nyama hiyo iliyobakia huifuniki iaache wazi mpaka kesho nakuambia utakuta nyama yako bado fresh
mende na panya je!!!!!