Nyama ya kenge

Dah mnatisha sana ,watu wanakula hadi mamba ,nyoka ,nyani,simba,mtu sembuse huyo,
 
Unacheza na njaa ilinifanya Nile ndizi mbichi na maboga mabichi Moshi miaka hiyo
Sawa mkuu ila Kuna njaa na hamu ya kula mkuu...

Naijua njaa naijua dhiki inafananaje hasa ukikosa upendo wa wazazi na ndugu wakasema hawakutaki mpenzi wa moyo wako akakimbiaπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Haa kwamba kupika uliona itachukua muda ama πŸ˜€πŸ˜€ pole
Ni stori ndefu,ila kiufupi nilifanya msala mmoja mkubwa home nikakimbilia machakani
Nalala porini mchana usiku naibukia mashambani kutafuta misosi zaidi ya wiki mbili
Nikipata muda nitashusha uzi
 
Kanga nyama yake huwa ni nyeusi flani ni nyama nzuri kuliko kuku wanaopigwa chanjo kila kukicha
 
Nyama ya kenge tamu kuku,Bata hawaingiii hrf nyama nyeupe kama samaki safiiiii kbsaaaaa Radha yake inaendana na chatu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…