Na ndio waliompoteza wakidhani anakubalika sana, kumbe wanataka kunufaika kupitia yeyeKwa akili yako ni kwamba rais amesimama hapo kea bahati mbaya? Jidanganye, hapo pameandaliwa . Kipindi Cha Magufuli benders zote za chadema jiji zima la mwanza zingeshushwa kwa muda wote.
Yes ! Ni kweli huo sio mkutano rasmi lakini awamu ya tano, kulikuwa na oparesheni za kushusha bendera za chadema na kupandiza za ccm kwenye kila nguzo za Umeme, na nguzo za taa za barabara I.
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app