Na ndio waliompoteza wakidhani anakubalika sana, kumbe wanataka kunufaika kupitia yeyeKwa akili yako ni kwamba rais amesimama hapo kea bahati mbaya? Jidanganye, hapo pameandaliwa . Kipindi Cha Magufuli benders zote za chadema jiji zima la mwanza zingeshushwa kwa muda wote.
Yes ! Ni kweli huo sio mkutano rasmi lakini awamu ya tano, kulikuwa na oparesheni za kushusha bendera za chadema na kupandiza za ccm kwenye kila nguzo za Umeme, na nguzo za taa za barabara I.
Kipindi cha mwendazake zilikuwa zinatolewa hizo, and hamna sehemu nimesema kuna mtu kabeba. BTW picha tu inaonesha bendera ipo kwenye mlingoti, na haikuwa moja, zilikuwa mbili.Acha upotoshaji hakuna alobebea bendera ya CHADEMA hapo bendera ipo kwenye mringoti wake maeneo ya kona ya butimba mkolani. Jifunzeni kuwa wakweli msilete mada ili lengo la kumtukana Marehemu.
Pointi ni kwamba enzi za bwana yule zingeshushwa, nani kamfuata nani unaweza kujijibu mwenyewe hilo swaliNani amemfuata mwenzake
Bendera imemfuata Mama au Mama ameifuata bendera
Kwa hiyo??Kwa akili yako ni kwamba rais amesimama hapo kea bahati mbaya? Jidanganye, hapo pameandaliwa . Kipindi Cha Magufuli benders zote za chadema jiji zima la mwanza zingeshushwa kwa muda wote.
Yes ! Ni kweli huo sio mkutano rasmi lakini awamu ya tano, kulikuwa na oparesheni za kushusha bendera za chadema na kupandiza za ccm kwenye kila nguzo za Umeme, na nguzo za taa za barabara I.
Bwana Yule alikuwa mtu primitive sana!Kwa akili yako ni kwamba rais amesimama hapo kea bahati mbaya? Jidanganye, hapo pameandaliwa . Kipindi Cha Magufuli benders zote za chadema jiji zima la mwanza zingeshushwa kwa muda wote.
Yes ! Ni kweli huo sio mkutano rasmi lakini awamu ya tano, kulikuwa na oparesheni za kushusha bendera za chadema na kupandiza za ccm kwenye kila nguzo za Umeme, na nguzo za taa za barabara I.
Hao jamaa inaonekana wamehamia Kaburini kabisa sijawaona muda sasa.Niliwahi kumwambia @Bia yetu na @Kawe Alumni kuwa wanatumia nguvu kubwa sana kup[osti
Kuna tofauti ya mkutano wa chama, iwe CHADEMA au ccm na mkutano wa rais wa nchi! Huyo ni rais wa wote hata kama chama chake ni ccm!Hapo alikuwa anapita tu akasimama kuongea na raia njian lakini hiyo bendera huwezi kuikuta sehemu ambayo imeandaliwa aje kuhutubia sio kwake tu au kwa upande wa CCM tu ila Chadema hawezi kuandaa mkutano sehemu fulani alafu wakaacha bendera ya CCM iko pembeni inapepea.
Read between the linesPointi ni kwamba enzi za bwana yule zingeshushwa, nani kamfuata nani unaweza kujijibu mwenyewe hilo swali
yani watu wangewajibishwa kwa uzembe hahh haaaHahaha, enzi za mwendazake wangethubutu hata kama ni himaya ya CDM?
Hapo alikuwa anapita tu akasimama kuongea na raia njian lakini hiyo bendera huwezi kuikuta sehemu ambayo imeandaliwa aje kuhutubia sio kwake tu au kwa upande wa CCM tu ila Chadema hawezi kuandaa mkutano sehemu fulani alafu wakaacha bendera ya CCM iko pembeni inapepea.
Kuna vijana humu ndani ni wapuuzi kupita maelezo.Acha upotoshaji hakuna alobebea bendera ya CHADEMA hapo bendera ipo kwenye mringoti wake maeneo ya kona ya butimba mkolani. Jifunzeni kuwa wakweli msilete mada ili lengo la kumtukana Marehemu.
Tena angepewa kesi ya uhujumu uchumi kabisa aliyeruhusu bendera iwepo hapo.Pindi cha mwenda hiyo ilikuwa kama laana
Roho mbaya inaua.Dikteta alikuwa na roho mbaya sana!
Nyapara!Mama yetu ni kiongozi huyo mwingine alikua ni mtawala
Nyinyi mnapicha ambayo mlifanya mkutano sehemu kukiwa na bendera ya ccm?Kwa akili yako ni kwamba rais amesimama hapo kea bahati mbaya? Jidanganye, hapo pameandaliwa . Kipindi Cha Magufuli benders zote za chadema jiji zima la mwanza zingeshushwa kwa muda wote.
Yes ! Ni kweli huo sio mkutano rasmi lakini awamu ya tano, kulikuwa na oparesheni za kushusha bendera za chadema na kupandiza za ccm kwenye kila nguzo za Umeme, na nguzo za taa za barabara I.
Mnasema yote sasa, MaCCM SAMIA, mliojitenga na legacy ya Mwendawazimu.Kwa mara ya kwanza since 2016 leo nimeona bendera ya CDM inapeperushwa sehemu ambayo Rais anahutubia, heko Mama samia, juhudi zako za kuirudisha demokrasia iliyominywa kwa kipindi hicho zinaonekana.
Hii ina maana kwamba wateule hawana hofu na unafiki tena kwa mamlaka ya uteuzi (Enzi za bwana yule huyo alipandisha bendera angekiona cha moto or Mkuu wa wilaya, mkoa, RPC na OCD leo ingekuwa mwisho wao na matusi juu).
Pia wananchi hawana hofu na utawala tena, na washamjua mtawala mpya hana roho mbaya ya kuwachukia wapinzani na kuwaona ni maadui wa nchi.
Heko Mama, kazi iendelee!!View attachment 1818166
AHAAAAAAAAAAAAAAA! Kuna wimbo wa dini unasema wamenichimbia shimo wakatumbukia wenyewe. Aliwaombea kifo wenzake hata kwa kupigwa risasi Mungu kasema," naona unapenda sana kifo kwa wenzako, sasa kufa mwenyewe huende huko unakopenda wenzako waende"Mwendazake alikuwa anataka kuiua CHADEMA, mwisho wake kafa yeye!
MATAGA GUNG kwani uongo, mvumilie tu,teteeni legacy ya kuua CHADEMA aliowachia Mwendawazimu,.πYaani hoja za kijinga jinga, tafuteni pesa acheni ujinga nyie.