Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
- Thread starter
-
- #41
Acha upuuzi wewe, siyo kila ujinga kwako ni ujinga kwa mwingine. Ni jambo kubwa sababu halijaonekana kwa miaka 6 sasa, na lisingeendelea kuonekana miaka 14 ijayo kama covid isingefanya yakeYaani hoja za kijinga jinga, tafuteni pesa acheni ujinga nyie.
Kunywa maji TAGA , kazi iendelee ,tetea legacy ya Mwendawazimu mpaka mwisho wa dunia 😂Acha uongo hapo kona ya Butimba BENDERA YA CHADEMA huwa ipoo mda wote mkuu haijarishi ziara ya nani ila kwa vile mnataka kuongea kipropaganda sawa ila hata kipindi cha mwendazake hiyo bendera haikuwahi kushusha mkuu.
Hiyo ilikuwa 2013 kabla ata huyo mwendazake hajaingia madarakani sina hakika kama vitendo hivi vilikuwepo pamoja na yale mabomu yakiyopigwa kwenye mikutano yenu.View attachment 1818232Acha upuuzi wewe, siyo kila ujinga kwako ni ujinga kwa mwingine. Ni jambo kubwa sababu halijaonekana kwa miaka 6 sasa, na lisingeendelea kuonekana miaka 14 ijayo kama covid isingefanya yake
Ukweli halisi ndio huu ulioongea.Hapo alikuwa anapita tu akasimama kuongea na raia njian lakini hiyo bendera huwezi kuikuta sehemu ambayo imeandaliwa aje kuhutubia sio kwake tu au kwa upande wa CCM tu ila Chadema hawezi kuandaa mkutano sehemu fulani alafu wakaacha bendera ya CCM iko pembeni inapepea.
Wapambanaji wananikashifuUkweli halisi ndio huu ulioongea.
Mwendazake ANGEUNG'OA na Mlingoti wa BENDERAKwa mara ya kwanza since 2016 leo nimeona bendera ya CDM inapeperushwa sehemu ambayo Rais anahutubia, heko Mama samia, juhudi zako za kuirudisha demokrasia iliyominywa kwa kipindi hicho zinaonekana.
Hii ina maana kwamba wateule hawana hofu na unafiki tena kwa mamlaka ya uteuzi (Enzi za bwana yule huyo alipandisha bendera angekiona cha moto or Mkuu wa wilaya, mkoa, RPC na OCD leo ingekuwa mwisho wao na matusi juu).
Pia wananchi hawana hofu na utawala tena, na washamjua mtawala mpya hana roho mbaya ya kuwachukia wapinzani na kuwaona ni maadui wa nchi.
Heko Mama, kazi iendelee!!View attachment 1818166
Vyovyote vile , itakavyo kuwa, lakini enzi za jiwe ilikuwa akiingia mkoani/wilayani ilikuwa ni marufuku kwa bendera hiyo kuonekana popote pale!!Hapo alikuwa anapita tu akasimama kuongea na raia njian lakini hiyo bendera huwezi kuikuta sehemu ambayo imeandaliwa aje kuhutubia sio kwake tu au kwa upande wa CCM tu ila Chadema hawezi kuandaa mkutano sehemu fulani alafu wakaacha bendera ya CCM iko pembeni inapepea.
Cha ajabu ni nini? Sisi hatuhangaiki na bendera. Tunamwaga seraNyinyi mnapicha ambayo mlifanya mkutano sehemu kukiwa na bendera ya ccm?
Sasa hapa mnashangilia nini?Cha ajabu ni nini? Sisi hatuhangaiki na bendera. Tunamwaga sera
Hebu kausheni basi, umeniua mbavu[emoji16][emoji23][emoji28][emoji38]Mwendazake ANGEUNG'OA na Mlingoti wa BENDERA
Bia yetu yupo hapo lumumba anaosha magari ya wagen na viongoz wa chama wanaokuja hapoNiliwahi kumwambia Bia yetu na Kawe Alumni kuwa wanatumia nguvu kubwa sana kup[osti hapa jukwaani ujinga ujinga na kwamba they wont make it, leo nina mwezi au zaidi ya mwezi sijawaona. Kuiua Chadema kwa maneno ya mtandaoni sio rahisi, wameshindwa kwa risasi ndio wataweza kwa maneno? MATAGA wamekimbiana
basi tumbadilishe Jina awe jiwe letu ila uyu mwamba alikuja kama mzimu sijui alitokea wapi? Mwezi mmoja tu kila mtu akamjua sijui alilipwa Tsh ngap mmmm kama sio jiwe mwenyewe ni polepole yuleMbona wanasema Bia yetu ni jiwe mwenyewe..
Last seen yake ni 28/10/2020, siku ile ya uchafuzi
sijui kama kashajua kwamba kashakufa na kaiacha CHADEMA ikipasua anga.Mwendazake alikuwa anataka kuiua CHADEMA, mwisho wake kafa yeye!