Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wapambane kumuokoa classmate...🤨Wazungu wanapambana kumuokoa Bilionea
Ni hiki hiki kilichopotea safari hii? 😳Mwaka jana kilipotea kwa muda wa masaa matatu kabla ya kuonekana, Je,haikutosha kuwapa somo!?
Usikute Hollywood wapo kazini mkuu .. wanaandaa true story...Kama nawaona Hollywood na Netflix wakifatilia kwa makini waje kutoa Doc series na Titanic two
Ndio hikihiki na waliokuwemo ndio wanaofanya mahojiano na vyombo vya habari kuekezea uzoefu wao kwa namna ilivyohatari kusafiri kwa chombo hicho.Ni hiki hiki kilichopotea safari hii? 😳
Yawezekana uko sahihi aisee. Mimi sina uzoefu na haya mambo.....mbona mie nimekua nikisikia kuwa usafiri salama kabisa kuliko wote hapa duniani ni njia ya maji kwa maana ya meli.
Wangechukuaje na wakat sub yenyewe haina hata winch au robotic arm. Na ni umbali wa ft karibu 12000 binadamu hawezi kusurvive nje ya chombo hicho kwanza thickness ya ukuta wake ni inches 5.Hao walikwenda kutafuta dhahabu, almasi ambzo zilipotea kwenye meli ya titanic, meli ya titanic ilizama na dhahabu pamoja na almas nyingi. Na asilimia kubwa hayo madini hayajapatikana.
Hao walikua wanayatafuta wamekutana na kitu kizito waache sound.
Painful death, yaani uankufa na unajua unakufaSiku tatu zilizopita chombo cha submersible kimepotea ndani ya maji katika bahari ya Atlantic, ndani yake kuna watu 5 wote wanaume.
Chombo hiki kinaweza kuzama mpaka umbali wa mita 3,800 chini ya bahari, sawa na futi 12,500.
Kinaweza kukaa na hewa ya oxygen kwa muda wa saa 99 pekee, na huu muda unatarajiwa kuisha kesho Alhamis mida ya saa 9 alasiri kwa saa za Afrika Mashariki.
Waokoaji wanaendelea na kasi kubwa sana ya kukikafuta hiki chombo ambacho kilikwenda kwa ajili ya utalii wa kuangalia mabaki ya meli ya Titanic.
Leo waokoaji wamesikia kelele za mawimbi ya chombo kwa maana kwamba kuna uhai, ila hawajajua kilipo.
View attachment 2664510
Link..Ingia BBC swahili kuna maelezo yakutosha.
Wana masaa 8 ya kuishi kwa takwimu za wanadamu.Zimesalia saa ngapi mpaka muda huu?
Wawape DP world mkataba wa kuwaokoa fasta,