Nyambizi iliyopotea mpaka kesho saa 9 alasiri itaishiwa oxygen

Hao walikwenda kutafuta dhahabu, almasi ambzo zilipotea kwenye meli ya titanic, meli ya titanic ilizama na dhahabu pamoja na almas nyingi. Na asilimia kubwa hayo madini hayajapatikana.

Hao walikua wanayatafuta wamekutana na kitu kizito waache sound.
Wangechukuaje na wakat sub yenyewe haina hata winch au robotic arm. Na ni umbali wa ft karibu 12000 binadamu hawezi kusurvive nje ya chombo hicho kwanza thickness ya ukuta wake ni inches 5.
 
Painful death, yaani uankufa na unajua unakufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…