Tetesi: Nyambizi za Urusi zenye makombora ya nyuklia zapelekwa kwenye eneo la maji karibu na Marekani

Tetesi: Nyambizi za Urusi zenye makombora ya nyuklia zapelekwa kwenye eneo la maji karibu na Marekani

Swali lako halina maana kuuliza leo, ungeuliza kipindi tuna huo mjadala ningekuelewa.
Pia namna ulivyouliza kana kwamba nilitakiwa kuamini Urusi ingevamia Ukraine kwa kuwa Marekani imesema hivyo.

Leo ungeuliza kwanini sikuamini Urusi ingeivamia Ukraine licha uwingi wa majeshi yake yaliyokuwepo mpakani na Ukraine? Hili swali linapanua mjadala.
Wewe unafikiri ni kwanini nimekuuliza leo?

Ningekuuliza mapema zaidi pia ungesema nakulazimisha kuamini maneno ya Marekani kabla ya matokeo.

Swali langu lina maana as long as matokeo ya kile ambacho hukuamini yameshaonekana na yanaendelea kuonekana hivi sasa.
 
Wewe unafikiri ni kwanini nimekuuliza leo?

Ningekuuliza mapema zaidi pia ungesema nakulazimisha kuamini maneno ya Marekani kabla ya matokeo.

Swali langu lina maana as long as matokeo ya kile ambacho hukuamini yameshaonekana na yanaendelea kuonekana hivi sasa.
Hauna sababu ya maana kuniuliza leo.
 
Hayo ndio mambo ya kiume Sasa.

Russia piga hao mashoger.
Unaongea tu mkuu.
Us sio sawa na Mandonga aka. Mvimba macho Mchina.
Kama habari hii ni ya kweli subiria Putin anyongwe fasta
 
😄😄 Dead brain Joe anaendeleaje?
Kwa taarifa yako Joe hana maamuzi yoyote.
Us urais ni taasisi na sio show ya mtu mmoja kama Mandonga wenu Putin hivyo hata Biden aqe mfu tikitiki mambo yanaenda sawia
dudus
 
Kwa taarifa yako Joe hana maamuzi yoyote.
Us urais ni taasisi na sio show ya mtu mmoja kama Mandonga wenu Putin hivyo hata Biden aqe mfu tikitiki mambo yanaenda sawia
dudus
Mbona Hilo la Rais kua toothless dog inajulikana kitambo Sana 😄😄, umechelewa tu kufahamu.

I have already talked with one US President, and with another, and with the third - Presidents come and go, but the policy does not change. Do you know why? Because the power of the bureaucracy is very strong. The person gets elected, he comes with some ideas, and then people come to him with briefcases, well dressed and in dark suits, like mine, but not with a red tie, but with black or dark blue, and they begin to explain what he should do - and everything changes at once. This happens from one administration to the next.-PUTIN
 
Back
Top Bottom