FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
Wewe unafikiri ni kwanini nimekuuliza leo?Swali lako halina maana kuuliza leo, ungeuliza kipindi tuna huo mjadala ningekuelewa.
Pia namna ulivyouliza kana kwamba nilitakiwa kuamini Urusi ingevamia Ukraine kwa kuwa Marekani imesema hivyo.
Leo ungeuliza kwanini sikuamini Urusi ingeivamia Ukraine licha uwingi wa majeshi yake yaliyokuwepo mpakani na Ukraine? Hili swali linapanua mjadala.
Hauna sababu ya maana kuniuliza leo.Wewe unafikiri ni kwanini nimekuuliza leo?
Ningekuuliza mapema zaidi pia ungesema nakulazimisha kuamini maneno ya Marekani kabla ya matokeo.
Swali langu lina maana as long as matokeo ya kile ambacho hukuamini yameshaonekana na yanaendelea kuonekana hivi sasa.
Unaongea tu mkuu.Hayo ndio mambo ya kiume Sasa.
Russia piga hao mashoger.
ππ Dead brain Joe anaendeleaje?Unaongea tu mkuu.
Us sio sawa na Mandonga aka. Mvimba macho Mchina.
Kama habari hii ni ya kweli subiria Putin anyongwe fasta
Mbona Hilo la Rais kua toothless dog inajulikana kitambo Sana ππ, umechelewa tu kufahamu.Kwa taarifa yako Joe hana maamuzi yoyote.
Us urais ni taasisi na sio show ya mtu mmoja kama Mandonga wenu Putin hivyo hata Biden aqe mfu tikitiki mambo yanaenda sawia
dudus