Nyandu tozzy na group lako, mnaenda South Africa kila siku, kwani mnafanya biashara gani?

Nyandu tozzy na group lako, mnaenda South Africa kila siku, kwani mnafanya biashara gani?

Kuna Tetesi kua kundi hili hili linampoteza blue a.k.a byser kuna ukweli wowote hapo ?maana Jamaa ana kipaji na watu wengi wenye vipaji wamepotea kupitia hii kitu ya sembe mwenye clue atusaidie
 
Kuna Tetesi kua kundi hili hili linampoteza blue a.k.a byser kuna ukweli wowote hapo ?maana Jamaa ana kipaji na watu wengi wenye vipaji wamepotea kupitia hii kitu ya sembe mwenye clue atusaidie


Mtu mzima na akili zake kudai anapotezwa na wanaume wenzie ni madai ya kifala. Kila mtu akishafikisha umri wa miaka 18 anakuwa responsable na maisha yake mwenyewe
 
Habari wana jamvi,

Leo hii nataka tumjadili msanij wa kizazi kipya wa hip hop, Dogo Hamidu al maarufu kama Nyandu Tozzy 26.

Huyu bwana Mdogo ana kigroup chale wao kila siku wanakwea pipa kwenda kwa madiba na kurudi bongo. Kazi au biashara wanazofanya kati ya south Africa na Tanzania hazijulikani lakini kila siku utawakuta dakika moja Kinondoni dakika moja South Africa.

What so special na trip zao za mara kwa mara za kwenda south africa maana wengine hawaimbi mziki wapo wapo tu bora hata ya nyandu tozzy yeye kidogo anataupa burudani wapenda hip hop ila hili genge lake na safari zisizoisha za Afrika ya kusini kunani huko bondeni kama kuna fursa watumabie na sisi tuende na hata kama kuna fursa lakini siku mbili south siku mbili bongo.

Yetu macho.
Itakuwa wanaenda kufanya show
 
Kule kaz za pesa nyingi kwa wabongo ni mbili tu KUUZA SEMBE na KUSHIKA MTUTU,baadhi ya wahuni wasiokua na kaz kabisa wanaenda sehemu flani tumeitunga jina la MAKUMANI,hapo unajiandikisha then unakabiziwa demu upige nae mtombano watu wanajipatia kipato kwa watazamaji wanaoingia kushuhudia SEX SHOW LIVE.
Duuuuuuh.... Aiseeee
 
Nyandu iko wazi ni bingwa wa kufuga nyoka hasa chatu wa bongo fleva na safari za SA ni kufuata chakula cha nyoka wake anawapenda sana nyoka wake lazima awe busy kufuata chakula.
Blue amshukuru Mungu alikimbia akaacha kua mfugo ila mtoto David naona kufugwa kunamkolea soon tutaanzisha thread hapa alafu Kino inajua kua dogo ni mfugaji ila anachekewa.
Hivi nyoka hula unga?
 
Huwa najiuliza hili kundi BOB NA MICHARAZO wako kama 10 hivi ni promoter gani anaweza kuwalipa?! Na sijawahi sikia show yao ikitangazwa! KUMBE NI WAZE WA KUVUKA BODA! WAKITUMIKA KAMA PUNDA! alaah! nilikuwa sijui ati
 
Habari wana jamvi,

Leo hii nataka tumjadili msanij wa kizazi kipya wa hip hop, Dogo Hamidu al maarufu kama Nyandu Tozzy 26.

Huyu bwana Mdogo ana kigroup chale wao kila siku wanakwea pipa kwenda kwa madiba na kurudi bongo. Kazi au biashara wanazofanya kati ya south Africa na Tanzania hazijulikani lakini kila siku utawakuta dakika moja Kinondoni dakika moja South Africa.

What so special na trip zao za mara kwa mara za kwenda south africa maana wengine hawaimbi mziki wapo wapo tu bora hata ya nyandu tozzy yeye kidogo anataupa burudani wapenda hip hop ila hili genge lake na safari zisizoisha za Afrika ya kusini kunani huko bondeni kama kuna fursa watumabie na sisi tuende na hata kama kuna fursa lakini siku mbili south siku mbili bongo.

Yetu macho.
Hii ndo kazi yako kufuatilia watu? Kwanini usitumie muda wako kuangalia suluhu la maadui wa nchi yetu alafu ukaishauri serikali? Wenzetu wapo busy kuvumbua vitu ili kurahisisha maisha ya binadamu sisi tupo busy na umbea. Kweli mmelaaniwa
 
Kule kaz za pesa nyingi kwa wabongo ni mbili tu KUUZA SEMBE na KUSHIKA MTUTU,baadhi ya wahuni wasiokua na kaz kabisa wanaenda sehemu flani tumeitunga jina la MAKUMANI,hapo unajiandikisha then unakabiziwa demu upige nae mtombano watu wanajipatia kipato kwa watazamaji wanaoingia kushuhudia SEX SHOW LIVE.
Hatari sana.... siku unarudi home unakutana na video iliyorekodiwa ukila mambo na watu wanashuhudia.... daaaah
 
Back
Top Bottom