Nyandu tozzy na group lako, mnaenda South Africa kila siku, kwani mnafanya biashara gani?

Nyandu tozzy na group lako, mnaenda South Africa kila siku, kwani mnafanya biashara gani?

Haiwezekani kupanda ndege kwenda South Africa kila siku. Labda anafanyakazi Ukonga au Gongo la Mboto we ukimuona Nyerere Road kila siku unafikiri anaenda airport.
Uwezo wako wa kufikiria una matatizo wallah
 
Kule kaz za pesa nyingi kwa wabongo ni mbili tu KUUZA SEMBE na KUSHIKA MTUTU,baadhi ya wahuni wasiokua na kaz kabisa wanaenda sehemu flani tumeitunga jina la MAKUMANI,hapo unajiandikisha then unakabiziwa demu upige nae mtombano watu wanajipatia kipato kwa watazamaji wanaoingia kushuhudia SEX SHOW LIVE.
Is it legal mkuu?
 
Hapo ukweli. Ni. Kwamba kila mmoja anafahamu apate vipi riziki! Kibaya hapa bongo mtu akifanya hivi watu huzungumza ivi... Mwenyenzi mungu ndie anae jua binadamu flani atapata riziki yake akiwa sehemu flani, ila mwanadamu hutumia njia nyingi ili apate riziki yake.... Kwakua ndivyo basi kila mmoja hana budi kupambana kivyovyote... Ivi tuchukulie kwamba washkaji hawaendi south wapo bongo tu.. Je watu watasemaje!? Na pia tuache kuna na mashaka na maisha ya watu...! Angalia ni jinsi gani utaweza kupata riziki na utaishi katika amani ipi.! Kwa maoni yangu tu.


Swala si kuangalia maisha ya watu.. Kama mfumo wa maisha yako katika utafutaji wa riziki yako unaleta athari kwa jamii yetu hatuwezi kukaa kimya....Hawa waliotajwa hapa ni Wauza Unga Kinondoni nzima inajua na tena Huyo Mchafu aliyetajwa ni kibaraka mbona maboss zake amewaacha hapa ndio naona mkuu wa mkoa wetu ameongozwa na mizuka na si kufuata ripoti halisi
 
-Makonda Awachunguze B.O.B Clique yote na Pia Amchunguze Tajiri Mtata Kama Salaah ambaye ni Rafiki Yake.

Kaka umenena..tena hapa B.O.B click inapatikana bhangi iliyochanganywa na Unga so wale wadada zetu poa wa maeneo ya kinondoni wanaopenda kuvuta bhangi wanazipenda zile zinazopatikana B.O.B click na wengi wamekwishatumbukia kwenye matumizi ya unga na wamekuwa mateja hawana tena mvutoo...Kwa ushahidi atafutwe Shamimu na Mary Maarufu saana pale Masai club
 
Habari wana jamvi,

Leo hii nataka tumjadili msanij wa kizazi kipya wa hip hop, Dogo Hamidu al maarufu kama Nyandu Tozzy 26.

Huyu bwana Mdogo ana kigroup chale wao kila siku wanakwea pipa kwenda kwa madiba na kurudi bongo. Kazi au biashara wanazofanya kati ya south Africa na Tanzania hazijulikani lakini kila siku utawakuta dakika moja Kinondoni dakika moja South Africa.

What so special na trip zao za mara kwa mara za kwenda south africa maana wengine hawaimbi mziki wapo wapo tu bora hata ya nyandu tozzy yeye kidogo anataupa burudani wapenda hip hop ila hili genge lake na safari zisizoisha za Afrika ya kusini kunani huko bondeni kama kuna fursa watumabie na sisi tuende na hata kama kuna fursa lakini siku mbili south siku mbili bongo.

Yetu macho.
Anafanya kazi kama anayofanya diamond,mbona huulizii diamond kila mara na group lake wanakwea pipa?
 
-Makonda Awachunguze B.O.B Clique yote na Pia Amchunguze Tajiri Mtata Kama Salaah ambaye ni Rafiki Yake.
Yule mrefu anayekaa tbt ndy tajiri Yao Kna nyandu makonda alimtaja Jamaa annaitwa ch..ch,muuza poda kitambo sana

Ova
 
Hapo ukweli. Ni. Kwamba kila mmoja anafahamu apate vipi riziki! Kibaya hapa bongo mtu akifanya hivi watu huzungumza ivi... Mwenyenzi mungu ndie anae jua binadamu flani atapata riziki yake akiwa sehemu flani, ila mwanadamu hutumia njia nyingi ili apate riziki yake.... Kwakua ndivyo basi kila mmoja hana budi kupambana kivyovyote... Ivi tuchukulie kwamba washkaji hawaendi south wapo bongo tu.. Je watu watasemaje!? Na pia tuache kuna na mashaka na maisha ya watu...! Angalia ni jinsi gani utaweza kupata riziki na utaishi katika amani ipi.! Kwa maoni yangu tu.
Wanaume wa mikoan tulien huyu jamaa ni bingwa wa dawa ya kulevya
 
Money laundering at work.
MTU anauza ngada ila anatafuta biashara Nyingine (kama maduka ya nguo nk) ya kuzugia na anaonesha uchapakazi wote. Fedha anayoipata kwenye ngada anataka nyinyi muhisi ni toka zile zinazotambuliwa na TRA.
 
Duh! Huyo nyandu mbona kwenye hiyo picha anaonekana ana chuchu saa sita!!!??
 
Waacheni watu wapige mishe zao, sio mnawazonga zonga. Wengine wivu tu umewajaa, kazi kufuatilia maisha ya watu.
 
Waacheni watu wapige mishe zao, sio mnawazonga zonga. Wengine wivu tu umewajaa, kazi kufuatilia maisha ya watu.
Ngoja itoke Siku am supply unga ndg yko kwa ajili ya matumizi.....hapo ndy utaelewa

Ova
 
Ukweli ni kwamba vijana wengi hasa wanaoenda na kuishi South Africa wengi wako kule ama wanaenda kule kujaribu maisha (mimi ni mmoja wao) ila ukweli wengi wanajihusisha na uuzaji madawa ya kulevya. Madawa ya kulevya kuingia nayo South hasa kupitia viwanja vya ndege kama O.thambo ni ngumu sana ila ku supply ukiwa ndani ya South Africa ni simple muda mwingine ni risk,kundi lingine ni ma gays hao nao wanawateja wao wengi tu hasa wazungu. NB: Nimeyaona haya na hata nilipowatembelea baadhi ya Wabongo ukweli wengi wanauza sembe na wala hawajifichi kwani ishakuwa kama maisha tu ya kawaida na mwisho kuna kundi linaloenda kusaka maisha kupitia fani ama nguvu ambazo mwenyezi mungu kawajalia. Mwisho; kutembea pia ni kujifunza mengi.
bado upo South?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom