Mwafrika anakwenda Shuleni kujifunza kiingereza tu na hakuna kingine, Mzungu mwenye lugha yake asingeandika hivyo! Na ndiyo maana hakuna maendeleo isipokuwa ya kiingereza tu labda, hatuwezi kujenga Madaraja, nyumba imara, kutibu magonjwa wala hata kula chakula bora tu, ila tunaweza misamiati ya kiingereza!
Lengo la lugha ni kuwasiliana. Mtu Mwenye akili timamu anatambua kiwango cha lugha kinachotumiwa na Jamii anayowasiliana nayo.
Sasa hapo yeye anawasiliana na watu gani? Mahoka? Au kichaa kimemuanza!!?
Moja ya skill muhimu ya kuandika kwenye social media ni ujumbe wako ueleweke kwa urahisi na wasomaji na hatimae waweze kuchangia.
Na tatizo la kutumia bombastic words ni kupoteza meaning ya ujumbe. Una-focus kutumia maneno magumu uliyonayo zaidi ya kuandika ujumbe wenye kuleta maana.
Wacha nikiri kwanza prof. katukomesha wengi hapa kisha baada ya hapo anaetaka kumkosoa kuwa anatusimangia umahiri wake wa kujua lugha aendelee na kuna wengine humu wamemtukana prof. kisirisiri lakini kama kutukoga basi katukoga wengi Shukran prof.
Ujuzi mwingi huondoa maarifa.Kichwa chake amekijaza maneno magumu ya kiingereza,lakini amekosa maarifa ya namna nzuri ya kuwasiliana na Watu wa kawaida.Msomi huyu amekuwa mjinga.
[emoji56]very simple english
Usichukulie kila comment ya humu ndivyo ilivyo.Povu litatoka sana leo. Kama amekuboa,mtafute Ras Simba.
***[emoji56]