Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Mwafrika anakwenda Shuleni kujifunza kiingereza tu na hakuna kingine, Mzungu mwenye lugha yake asingeandika hivyo! Na ndiyo maana hakuna maendeleo isipokuwa ya kiingereza tu labda, hatuwezi kujenga Madaraja, nyumba imara, kutibu magonjwa wala hata kula chakula bora tu, ila tunaweza misamiati ya kiingereza!
Mkuu mbona povu jingi sana? Hujaelewa,kausha. Acha kulalama.