Charles Gerald
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 1,403
- 1,837
Poa NN siku moja tutakutana hayo maeneo, wakubise.Naishi Johns Creek katika jimbo la Georgia.
Kikubwa labda ni ushindani...ni mkali kwelilweli.
aiyayaaaaWeeeee!!
Nimchape Kisura? Never ever.
Ila yeye keshawahi kunizaba kibaoπ
Hapana.
Sipigagi wanawake mimi.
Swadaktaa ni wewe kumbe memory yangu bado iko sawa,hata hizo excerpts sio mbaya nitakutafuta baadaye.
na kuhusu swali la kwanza nadhani ulishaelewa nini nilimaanisha ila basi tu wanifanyia visa na maanisha vitabu influential,ama ulivyowahi vikubali kutokana na ujumbe uliomo ndani yake.hizi lugha zilizokuja na wamishonari wengine bado hatujazimasta.
By the way am a fan,kuna characters mujarrab unazo na huwa najifunza mengi kwako hata ukiwa na misimamo nisiyoikubali,You are kinda gifted brother.
Ni kitu/vitu gani ambacho ukipewa uwezo, power na kuwezeshwa ukaambiwa uwafanyie wananchi/raia wa kawaida, utawafanyia.?
Hahahaa, alipokuzaba kibao ulimchukulia hatua gani.?
Nimeona sehemu katika post zilizopita kuwa hutotaka kuajiriwa tena, upo radhi uwe hata dereva wa Uber.
Je Huko ulipo madereva wa uber ndo wenye kazi zinazodharaulika.? Ama udereva wa uber ndo kazi yenye ujira mdogo kuliko zote.?
Hizo papuchi za mteremko zinapatikana Kona ipi humu jf? Nachojua wanawake wa humu graduated [emoji310] rich nigga wife training.....Nahisi harufu ya mtu kutaka kudandia PAPUCHI za miteremkoo ya humu Jf...
Watu wana mbinuu[emoji125] [emoji125]
Members wengi unajua wana wivu na wewe kwa sababu moja kubwa unaporingishia(USA baby yako ha ha haaaaa nahisi ndivyo waonavyo)
na pia unatokea kuwa kama Nyani Ngabu mwenye nyota ya kuonewa wivu kwa ulivyo au na yako kutokana na maandishi.
Je katika maisha yako upo hivyo, yaani unakutana na haya ya eatu kukuona kama unajisikia, unaringa na kutamani maisha yako?
Je unajiwekaje na watu kama hao, najua huwa kuna wengine wanaweza kutaka kujaribu kukushusha kwa matendo au maneno kizaidi?
Je unaamini katika kusamehe.? If yes, kosa la kuchepuka unaweza samehe.?
if no, huwa unajicontrol/act vipi unapokutana na mtu ambaye hujamsamehe.?
Je hasira zimeshawahi kufanya jambo ambalo ulikuja lijutia baadae.? If yes, Jambo gani.?
Ni jambo gani ambalo ungependa kabla hujaondoka duniani uwe umelikamilisha.?
Je kuna legacy yoyote ambayo ungependa kuiacha.? If yes, Ipi.?
Wanaume wengi siku ya kwanza kutongoza huwa inakuwaga na kizungumkuti, kuna wengine hufikia hata kuandaa manual na kukariri verses za kutongozea, je Siku yako ya kwanza kutongoza kwako ilikuwaje.? Je ulimpata uliyemtongoza.? Ama ulicheza fyongo na kutoa mpira nje.?
My gal Coco...nafurahi kukuona hapa. Ila mbona umechelewa hivyo? Au ulikuwa unawashughulikia Chadema kule siasani?π
Kwa kweli hata sijui tatizo lao ni nini hasa. Wana roho za kutu tu hao. Na huenda hawana furaha maishani mwao.
Huku uraiani sijawahi kukutana na huo ujinga ujinga. Hiyo ni kwa sababu hakuna mtu anayeweza kunisemea mbovu usoni halafu akabaki salama. Mtu akiniletea ujinga nampa mangumi tu.
Sasa huku kwenye mtandao yeyote anaweza kusema chochote na kwa yeyote yule pasipo consequences zozote zile dhidi yake zaidi ya labda kupewa ban.
Nadhani, hata kimuonekano tu ninakuwa nina command respect flani hivi ambayo husababisha watu kutokunijaribu kwa sababu wanaweza kuisoma kirahisi lugha yangu ya mwili kwamba mimi sijaribiwi.
Kwa hiyo labda huwa wakiniona wanabaki tu kuugulia kimya kimya na kunisema bila ya mimi kusikia.
Yaani watu kama hao hawana nafasi kabisa hata ile ya kunisogelea tu. Nikibaini mtu huyu ni mzandiki na sabasi namfungia vioo fasta haraka upesi sana.
Mara yangu ya kwanza nadhani attraction ilikuwa mutual na wote tulisomana tu lugha za mwili tukaelewa kinachoendelea.
Hakukuwa na haja ya maneno mengi yaliyo matupu.
Wewe haijawahi kukutokea hiyo? Kwamba unamtazama mchuchu na yeye anakutazama na mwishowe mnajikuta mko wapenzi bila hata kujua nani alimwanza nani kumtongoza?