Hapana mahondaw wangu... I object...
Mbona unakwepa swali langu mkuu
Swali gani?Mbona unakwepa swali langu mkuu
Una kipaji chochote cha muziki kutunga na kuimba?Swali gani?
Haya uliza tena maana huenda nilisahau.
Una kipaji chochote cha muziki kutunga na kuimba?
unarafiki yako yeyote mwenye rabel ya muzik uweze kunipigia pande asign?
Unaweza kunipa japo sapot ya kifedha niweze kurekod japo nyimbo zangu mbili?
Hayo maswali niliyokuuliza hapo sio ya utan maana mimi nataka msaada kweli
[emoji134] [emoji15] [emoji15] [emoji15] nidanganya au niugawanyanye Mara mbili huo ulio nitajia
AhsanteeHeeh! Halafu wewe kaka unajimisisha. Hivi upo?
Salamu kutoka Ngaramtoni ya juu.
Kwema kabisa mkuu...Kwema kabisa kaka.
Sijui kwa upande wako...
Dinzared ni nani? MkuuUkiona unazungumzia sana mtu jua unamkubali mie sio wazamani sana humu katika watu wa ukweli humu if ni nyani ngabu,faiza fox,BAK, lala 1,mm,the bold , nifar ,dinzared, toka kipindi cha darhotwire kile long time we stunner sijui kama ulikuwepo kulikuwa hakuna smartphone zaidi ya internet cafee kipindi hicho
Hapana, sina kabisa.
Hapana, sina.
Wewe ni msanii?
Ndiyo mimi ni msanii wamwise wa kutunga na kuimba
Fedha kiasi gani?
Unaweza kunitumia sample ya kazi zako?
Bado sijalekod hata nyimbo moja sababu ya kukosa pesa ya kwenda studio labda nikutumie mistali ambayo nimeandika uione ndugu yangu
Kuhusu pesa hata doller mia mbili au mia tatu tunarekod nyimbo mbili kama kianzio
Sawa hamna shida. Wewe fanya kama nilivyokuomba hapo juu.
Ndiyo mimi ni msanii natunga na kuimba mwenyeweHapana, sina kabisa.
Hapana, sina.
Wewe ni msanii?
Fedha kiasi gani?
Unaweza kunitumia sample ya kazi zako?
Sawa hamna shida. Wewe fanya kama nilivyokuomba hapo juu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mbn umetanguliza ukabilaNdiyo mimi ni msanii natunga na kuimba mwenyewe
Kuhusu sample bado sijalekod hata nyimbo moja labda nikutumie mistali ya nyimbo ambayo nimetunga
Kuhusu pesa doller miatatu inatosha kurekod nyimbo mbili
Itakua vizur sana ukinisaidia ndugu yangu maana hata mimi ni ngosha mwenzio wa mwanza
Ili twende sawa ajue anayetaka kumusaidia ni ndugu yake, mbona nyie watu wa kaskazzin huwa mnaona gele sana juu ya ngoshas huwa mnashida gan na ngoshas hofu yenu ni nini juu yetu, mbona nyie ni wasomi sana kutushinda sisi ngoshas sasa mwatuogopa nini arifu[emoji23] [emoji23] [emoji23] mbn umetanguliza ukabila