Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
Moja ya vitu ninavyovikubali kutoka kwa Nyani Ngabu ni aina yake ya uandishi.
Iwe Kiswahili au Kiingereza jamaa anajitahidi kuandika katika mfumo unaoeleweka, anafuata sheria zote za uandishi kama nukta, vituo vidogo, herufi kubwa na ndogo, etc etc.
Na kwa ufasaha zaidi.
Iwe Kiswahili au Kiingereza jamaa anajitahidi kuandika katika mfumo unaoeleweka, anafuata sheria zote za uandishi kama nukta, vituo vidogo, herufi kubwa na ndogo, etc etc.
Na kwa ufasaha zaidi.