Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
😱😳🙄Nyani Ngabu nimekuja kuamini wewe ndiye mnyamwezi wa kweli humu JF, na naamini lazima PM yako inasumbuliwa sana na mabinti wanaotaka kuishi US..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😱😳🙄Nyani Ngabu nimekuja kuamini wewe ndiye mnyamwezi wa kweli humu JF, na naamini lazima PM yako inasumbuliwa sana na mabinti wanaotaka kuishi US..
Aaaaahhh wacha masihara wewe
Kuanza nn!?Subiri aje aanze na wewe
Kujupenda ndio nn??Wee mwenyewe libaya hawez kujupenda leusiii, linene hafu lifupi flani hv.. Pua sasa kama kisigino...
Bora umenisaidia give me [emoji109]
Naona umekosa kazi za kufanya....
To be honestly Mimi Ngabu namfahamu pia fun wake but kusema wanawake sijui tunamsujudu au kumsumbua huko ni kutushusha thamani.... Na Kama wapo wanaofanya hivyo ni sawa
Lakini siyo kutujumuisha wote
Alafu mwanaume mashine kukaa Mtoni siyo issue
Nawasiwasi na hii ID[emoji40]
Kuanza nn!?
Si mkubaliBado hujajibu swali mkuu..
[emoji23] [emoji23] kujupenda itakuwa jina la demu wakeKujupenda ndio nn??
[emoji23] [emoji23] kujupenda itakuwa jina la demu wake
Sawa mkuu Nyani Ngabu umemsikia huyu?Si mkubali
Kunako kwingi,wapi huko shekhe Wangu!?Eti kukuingiza kunako.
Mkuu jina lako haliendani na maadhi ya Nyani NgabuMimi wa Kwa mtogole wacha niendelee kucheza singeli
Woyoooooo man fongo natambaa ,nguo za mtumbaa
Zam yanan leooooooo.
Wakinipenda sawa , wasiponipenda sawa nachojua Mimi ni mwanamme Bora nisiyepatikanika mahali popote duniani.
Kunako kwingi,wapi huko shekhe Wangu!?