Edychristian
New Member
- Sep 14, 2021
- 2
- 1
Kwenye Nyanja ya Haki za binadamu.
Kila binadamu ana haki ya kupata huduma za kilazima kama maji,Chakula na mahala pakuishi lakini kila binadamu ana haki ya kupata huduma za Ki afya pindi anapohitaji huduma hizo
l
#StoriesOfChange #CitizenJournalisim
Lakini pia kila binadamu ana haki ya kusikilizwa ,haki ya kutoa mawazo kila binadamu ana haki ya kuhakikishiwala anapata ulinzi wa nyumba na mali zake,Kila binadamu aa haki ya Kupata elimu na maisha bora.
Hii itachangia Ukuaji wa wa Uchumi na ustawishwaji wa Uchumi
Pande zote za ulimwengu,hii itapafanya Duniani kuwa sehemu salama pakuishi,💪🔥#StoriesOfChange #CitizenJournalism
Kila binadamu ana haki ya kupata huduma za kilazima kama maji,Chakula na mahala pakuishi lakini kila binadamu ana haki ya kupata huduma za Ki afya pindi anapohitaji huduma hizo
l
#StoriesOfChange #CitizenJournalisim
Lakini pia kila binadamu ana haki ya kusikilizwa ,haki ya kutoa mawazo kila binadamu ana haki ya kuhakikishiwala anapata ulinzi wa nyumba na mali zake,Kila binadamu aa haki ya Kupata elimu na maisha bora.
Hii itachangia Ukuaji wa wa Uchumi na ustawishwaji wa Uchumi
Pande zote za ulimwengu,hii itapafanya Duniani kuwa sehemu salama pakuishi,💪🔥#StoriesOfChange #CitizenJournalism