Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo nawe lakini si kwa ushahidi huu, kwani hii ya Kagoda ilikuwa wapi wakati hiyo ya kina Farijala inapelekwa mahakamani? Hii haina mshiko ndio maana haijafikishwa hakuna ushahidi, upeleke nini? pumba? nambie huu ushahidi uliopo hapa una mtia hatiani RA au YM. Si pumba tuu hizi.
Kikwete ndio hakimu? unanchekesha. Hao kina nalaila si ndio hao tu au kuna zaidi yao? mie nimekutajia wangapi au niendelee na listi?
Nipo nawe lakini si kwa ushahidi huu, kwani hii ya Kagoda ilikuwa wapi wakati hiyo ya kina Farijala inapelekwa mahakamani?
Hii haina mshiko ndio maana haijafikishwa hakuna ushahidi, upeleke nini? pumba? nambie huu ushahidi uliopo hapa una mtia hatiani RA au YM. Si pumba tuu hizi.
Faiza, kama alivyosema Keil hapo juu whether or not ushahidi unatosha it is upon the DPP to decide. Yeye ndio mwenye mamlaka ya mwisho kufungua kesi ya jinai dhidi ya watuhumiwa. Na hata akiona ushahidi unatosha na kufungua kesi, still mahakama ndio itakuwa ya mwisho kuukubali au kuukataa huo ushahidi.
Na hata kama zingekuwa ni kesi za madai, which, of course I strongly disagree, atakayeshtaki ni aliyekuwa party kwenye hizo arrangements. Could be BOT au serikali kupitia kwa mwanasheria mkuu. Msemakweli hataweza hata kufungua kesi ya madai because he was not party to the contracts.
Kama Msemakweli amesema amempatia huo ushahidi DPP, then tumwachie DPP afanye kazi yake. Sisi huku tutabishana ushahidi unatosha au hautoshi, lakini DPP ndio mwenye say ya mwisho kama ushahidi una mshiko wa kufungua kesi.
FF kumbuka huyo ni msema kweli ambaye hana rsuces zozte lakini kaweza uuganisha ABC. So kama unaona sio ushaidi na ni pumba elewa mchele woe serikali inao haitaki watu wajue.
Ndio maana kama ninge kuwa JMK unayemsifia siku DPP aliptangaza kuwaambia wananchi wapeleke ushaidi basi siku hiyo hiyo ningefukuza kazi DPP . Wizi wa KAGODA na EPA sio wa mtu kuhomwa kisu njiani. Ni wizi umefanyika kwenye Ofisi. NI aibu na uSanii kwa DPP kuomba ushahidi kwa wananchi kwa issue hii.
- Kwa kutumia UWT, DPP, wanasheria TAKUKURU serikali inaweza kupata info za A to Z
- Seriali inaweza kujua WHO, WHAT ,WHEN , HOW ya maswali yote yanaohusiana crime ya KAGODA
Kama nilivysosema mwano DPP kutangaza wananchi kupeleka ushaidi ni kuonyesha incompetence kama si corruption au yote mawili . Kabla ya DPP kuomba msaada kwa wananchi alitakiwa kuwasiliana na huyo JMK aombe msaadaa wa UWT na machinery nyingine za serikali zimpatie taarifa. Kama alifanya hvyo na hakupata msaada ndio incomptence na corruption yenyewe kwenye system nzima tena from the top
Ndio maana nikasema anajitafutia umaarufu tu hana chochote zaidi ya hilo.
Huo wote ni ushahidi "circumstantial" na sio "solid" na ndio maana si Msemakweli wala Msemauongo wanaoweza kushitaki wao wenyewe na wanaupeleka kwa DPP, kwani wanajuwa kwa ushahidi kama huo, wakishindwa kesi! wanafilisiwa. Kwani hao watu unao "wapeleka" mahakamani dau lao ni kubwa.
Jamani sheria zinazolinda ufisadi zimepitwa na wakati.Kama mhasibu wa shirika X akiiba benki kutumia jina la kampuni X na kubanwa akarudisha then tuje tuseme kwa kuwa yeye ni mwajiriwa basi hawezi kushitakiwa watashitakiwa watu aina ya kina Maranda na wenzake walioiba Bilioni 2.Mkuu nadhani hata wewe katika nafsi yako unaamini kuwa Rostam kupitia Kagoda ndiye aliyeiba pesa za EPA kwa ajili ya kuisaidia CCM katika uchaguzi wa 2005. Sasa ije kuwa wanaokamatwa kuhusiana na Kagodo ni Kato na Tabu kweli utaamini? Lakini ndivyo inatakiwa iwe kwa kuwa wao ndio wakurugenzi na RA haonekani kwenye nyaraka!! Hivi ulifuatilia kidogo kesi kati ya Mengi na Manji? Kuna kipengele Manji alimkamata pabaya Mengi baada ya kusema yeye (Manji) si mmiliki wa quality finance bali ni muajiriwa tu!! Na kweli document zinasema yeye ni mwajiriwa. Kesi iliahirishwa sijui hadi lini!!! Na kwenye Kagoda RA si mmiliki wala mwajiriwa lakini tunaamini ndiye alichukua pesa zetu na wala siyo Tabu ama Kato!! Kuthibitisha hilo kisheria ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu a sindano!!! Ukizijua sheria raha mstarehe!!
si mtanzania huyu........haelewi, hasikiii........... Hyo law kasomea india!!!!!!!!"nipo nawe lakini si kwa ushahidi huu, kwani hii ya kagoda ilikuwa wapi wakati hiyo ya kina farijala inapelekwa mahakamani?
Hii haina mshiko ndio maana haijafikishwa hakuna ushahidi, upeleke nini? Pumba? Nambie huu ushahidi uliopo hapa una mtia hatiani ra au ym. Si pumba tuu hizi.
<br />Wale aliowataja kwamba wana degree feki na walitishia kumfungulia kesi, kesi hizo zimeishia wapi au zinaendelea Mahakamani kimya kimya?. ITV imekuwa na ujasiri wa kumrusha huyo mwanaharakati kwa sababu Mengi hapatani na hao waliotajwa? Maana wanaweza kufungua kesi dhidi ya huyo mwanaharakati pamoja na media zitakazo rusha hiyo habari.