Nyaraka mpya za Kagoda zawalipua Rostam, Manji

Nyaraka mpya za Kagoda zawalipua Rostam, Manji

Ili kuongezea msisitizo ... mwaka 1999 au 2000, kuna msichana (mwanafunzi wa UD) alibakwa na kesi ilipelekwa mahakama ya Kisutu. Kesi ile ili-draw attention ya watu kwa kuwa mbakaji alikuwa mfanyabiashara. Then kuna mambo yaliendelea nyuma ya pazia yakiwahusisha (waendesha mashitaka ambao ni polisi, hakimu, mtuhumiwa wa ubakaji na mbakwaji). Kulikuwa na madai kwamba kuna hela ilitembezwa (sina hakika na hilo). Then msichana aliomba kufuta hiyo kesi, na hivyo kesi ikawa imefutwa kinyemela (kimya kimya).

Magazeti yaliyokuwa yakifuatilia kesi hiyo kwa karibu yalipogundua hilo yaliandika juu ya ufutwaji wa kesi hiyo kinyemela. Jaji Mkuu aliposoma habari hizo aliomba jalada la kesi hiyo ili kuona mwenendo wa kesi yote mpaka kufikia uamuzi wa kesi kufutwa. Baada ya kupitia jalada hilo, kauli ya Jaji Mkuu ilikuwa ni kwamba kesi ilifutwa kimakosa. Mbakwaji hana haki ya kuomba kesi ifutwe kwa kuwa ni kesi ya jinai, mbakwaji ni shahidi namba moja. Mshitaki (Jamhuri) ndiye mwenye haki ya kuamua kuendelea au kutoendelea na kesi. So, kesi hiyo ilirudishwa mahakama ya Kisutu ili iendelee kusikilizwa. Kwa bahati mbaya mbakaji alikuja kufariki kwenye ajali na hivyo kesi ikafa.

Kwa hiyo dada yangu Faiza linapokuja swala la kesi za jinai, mwananchi wa kawaida hawezi kushitaki moja kwa moja, yeye anabaki kuwa shahidi tu na si vinginevyo na ndio maana Feleshi (DPP) ndiye mwenye maamuzi ya mwisho ya kuendelea ama kutoendelea na kesi. Feleshi akisema nafuta kesi, hakuna mtu wa kumuuliza.

Hoja kwamba kesi za EPA ni za madai, pamoja na ukilaza wangu wa sheria, hilo siyo kweli. Auditors ambao walikagua mahesabu ya Account ya EPA walisema kwamba document zilizotumika zilikuwa ni za kughushi kwa kuwa mikataba ya kuuza hayo madeni ilisainiwa kwa kipindi kifupi kana kwamba hizo kampuni (za nje) ambazo zilikuwa zinauza madeni yake zote zilikubaliana kuwa Dar within hicho kipindi kifupi na ndipo walipoona dalili za wizi. So, jinai ya kwanza ni kughushi documents, jinai ya pili ni kujipatia hela kwa kutumia documents ambazo zimeghushiwa. Hapo hakuna kesi ya madai bali ni kesi ya jinai.

Hoja kwamba JK alitaka hela zilipwe kwanza kwa kuwa kesi zinaweza kuchukua muda mrefu sana, hilo ni changa la macho. Ujanja aliotumia Kikwete ilikuwa ni kupoza watanzania kwamba hela tume-recover kwa hiyo hakuna haja ya kupelekana mahakamani. Mtu akiiba ng'ombe wako na ukamshika na ukaweza kuwarudisha hao ng'ombe haimaanishi kwamba yeye siyo mwizi. What if angefanikiwa kuishia nao kimoja, ungeweza kuwapata? Kitendo cha hao akina KAGODA na wengineo kukubali kurejesha hizo hela ilikuwa ni ushahidi wa wazi kwamba wanakiri kuwa waliiba na ndiyo maana wamekubali kurudisha fedha. Kama yangekuwa ni madai ya kawaida, wangeweza kugoma kurudisha hela ikitegemeana na status ya kampuni zao ambazo zilichota hizo hela.

Nadhani umeshindwa kuelewa nadharia.

Kesi hii na ushahidi uliotolewa unamuhusisha vipi wizi RA na YM? hakuna ushahidi kabisa hapo. Inabaki kuwa madai na hakuna criminal case hapo.

Sijui kama unanielewa au na wewe ni katika wale wanaong'ang;ania visivyo kuwepo.

Nakumbuka walipokuwa wanashabikia humu JF Dowans wafutiwe mkataba, nilijaribu sana kupinga hilo na nikasema litigharimu serikali kiasi kikubwa cha fedha. Hakuna aliyenielewa. Matokeo tunayajuwa.

Na kwa hili nakuambieni hakuna "incriminating evidence" kwa RA wala YM. pelekeni mahakamani, mtakuja kuniambia matokeo yake. Hata huyo DPP kwa "ushahidi" uliowekwa hapa haifikishi hata mahakamani labda na yeye awe punguani.

Hata kesi ya Richmond ilipopelekwa mahakamani nikasema watashinda na tumeona kimekuwa nini. Kumbukeni, wengi wenu mko so emotional kwa mapenzi ya chama chenu, hamna uwezo wa kuuona ukweli ikiwa mtakuwa emotional kwa mapenzi yenu ya chama.

Nakwambieni tena hakuna kesi hapo, au hakuna ushahidi wa kumtia hatiani RA wala YM.

Yusuph Manji kuhamisha pesa kupitia bureau ni moja katim ya ushahidi wa kijinga sana niliouona hapa. Hivi Yusuf Manji ana hamisha mamilioni mangapi kila siku kupitia bureau yake kwa biashara zake. Akiitowa list yake hata hakimu atamuona alioleta huo ushahidi ni punguani.

Kuweni na mtazamo bila kuwa washabiki. Watanzania ushabiki wa huku tumefunga macho na masikio unatuponza kwenye mengi sana. Na hii ni kwa ngazi zote si kwa wana JF tuu. hata maamuzi mengine ya maana yanatolewa kiushabiki na si kama ilivyo. Mfano mdogo ni kufuta mkataba wa Dowans, ulikuwa ni ujinga wa hali ya juu. Na wahusika wote walifanya hivyo kufuata ushabiki ama kwa maslahi yao au ya vyeo vvyao.
 
FF Hakuna kesi kama serikali , wanasheria wake , DPP na hata Vyombo vya usalama wana sifa hizi i
  • Incompetence
  • corrupted.
naongeza na;
.ccm members-wamewekwa pale kwa maslahi/kununuliwa na hawa mafia

sasa kutoka hapa ndipo watanzania tuaze kujiuliza nini tufanye kuhakikisha hili linashughulikiwa kwa mara ya kwanza tanzania,ya Chenge na radar serikali imekwepa!!naamini nyuma ya hawa mafia kuna watawala waliokula nao yani Kikwete km rais aliyepewa dhamana kipindi hiki anawea kuwaambia watu warudishe pesa halafu basi ivivi kweli???rais wa nchi?so awa akina rostam wako juu ya sheria za tanzania?
 
Soma post #244

Na wewe sma post No 254.

Your problem is u want msemakweli to assume the role of the government. With little resoruces and machinery Msemakweli has provided some little and very litte cirusmtancial evidence as point it

Sasa jiulize Serikali yenye taasisi na rasimilazi za kutosha ina evidnece kiasi gani zaidi? . UKWeli ni uwa Serikali na DPP wanjua mengi zaidi ya yale anayojua MSemakweli. na wakushatikiwa ni wengi . May be anachoogopa DPP ni hicho.

Am sorry inaonekana unajua sheria but same time inaonekana uko corrput .Mi sio mwanahsria lakini ukiwa mwanaahria msomi ukawa comptennt profeesinaly but wakati huo huo ukawa corrupted basi jua ile competece yako inakuwa deleted mpaka kwenye recycle bin. teh teh teh teh . Ndugu Andrew chenge ni mfano.

FF unaonekana wewe ni msomi mzuri but uko corrputed. teh teh teh . And for u re comments on this specif thread u are politcaly corrupt. may be corruption yako inavuka mipaka zaidi ya siasa. Sijui Kwenye hiyo List ya EPA mtuhmiwa mkuu kwenye hizo doc angekuwa mwanakijiji Wa CCJ kama ungeyasema maneno hao hayo uliyoandika? teh teh teh teh KAma comments zako unazitoa kwa kuanagalia nani mtajwa mhh tafadhali badilika utumie maarifa yako kuwatedea haki watanzania.
 
Umemaliza?
Hapa sijaona kitu kipya..ni yale yale tu tuliyoyazoea!
Huyu Msemakweli anajitafutia tu umaarufu.

nchi hiii ni masikini kwa sababu ya watu wachache kama wewe! ila hamna sumu katika vita hivi hata mkikunja sura vp! vita hivi tutavishinda na hatimaye tanzania itakuwa huru tena! kutoka mikononi mwa wadhalimu, mafisadi na wahujumu uchumi wote wa ccm na wengine.
 
Kwanini kama serikali haitaki kushitaki wanaharakati wasifungue mashitaka wao,ama sheria haziruhusu ndugu zangu make kamwe magamba hawawezi kupeleka wezi hawa kisutu hata siku moja
 
Asante Mungu kwa kuzidi kuwapa Watanzania ujasiri.Tuendelee kupata ujasiri hadi tuikomboe nchi yetu.
 
mkuu amewataja kina nani? manake nimeona image tu bila sauti,hujuma za eid.
<br />
<br />
1. Rostam na wajomba zake wawili
2. Manji
3. Na mama mmoja jina nimelisahau kataja watu ka 7 au 6
 
Naona ushahidi ni kamili kabisa lakin naona ni vizuri kumpa nafasi DPP kuzichunguza nyaraka hizo na kama zitakuwa sahihi pasi na shaka naona shauri lazima lifunguliwe mahakamani.

Hongera sana Msemakweli na wa TZ wengine kuweni na fuateni nyayo zake kuhakikisha mnalinda rasilimali za nchi yenu.
 
Kweli kama jamaa hana tamaa ya hela na anauchungu na nchi yake hatakiwi kukubali hongo yoyote kutoka kwa magamba
 
"mafisadi ni watu hatari sana wakiguswa nchi itayumba" mnakumbuka kauli hii toka kwa kiongozi mmoja wa juu?
 
Wale aliowataja kwamba wana degree feki na walitishia kumfungulia kesi, kesi hizo zimeishia wapi au zinaendelea Mahakamani kimya kimya?. ITV imekuwa na ujasiri wa kumrusha huyo mwanaharakati kwa sababu Mengi hapatani na hao waliotajwa? Maana wanaweza kufungua kesi dhidi ya huyo mwanaharakati pamoja na media zitakazo rusha hiyo habari.
 
Na wewe sma post No 254.

Your problem is u want msemakweli to assume the role of the government. With little resoruces and machinery Msemakweli has provided some little and very litte cirusmtancial evidence as point it

Sasa jiulize Serikali yenye taasisi na rasimilazi za kutosha ina evidnece kiasi gani zaidi? . UKWeli ni uwa Serikali na DPP wanjua mengi zaidi ya yale anayojua MSemakweli. na wakushatikiwa ni wengi . May be anachoogopa DPP ni hicho.

Am sorry inaonekana unajua sheria but same time inaonekana uko corrput .Mi sio mwanahsria lakini ukiwa mwanaahria msomi ukawa comptennt profeesinaly but wakati huo huo ukawa corrupted basi jua ile competece yako inakuwa deleted mpaka kwenye recycle bin. teh teh teh teh . Ndugu Andrew chenge ni mfano.

FF unaonekana wewe ni msomi mzuri but uko corrputed. teh teh teh . And for u re comments on this specif thread u are politcaly corrupt. may be corruption yako inavuka mipaka zaidi ya siasa. Sijui Kwenye hiyo List ya EPA mtuhmiwa mkuu kwenye hizo doc angekuwa mwanakijiji Wa CCJ kama ungeyasema maneno hao hayo uliyoandika? teh teh teh teh KAma comments zako unazitoa kwa kuanagalia nani mtajwa mhh tafadhali badilika utumie maarifa yako kuwatedea haki watanzania.

Aaaaarghhhhhhh. Pumba.

254 nimeisoma kuna ukweli ndani yake lakini tunaona JMK akilishughulikia suala hili kwa ufanisi mkubwa kabisa na ndio maana tukaona watu kama kina Mramba, Mahalu, na wale ndugu wawili wa EPA wakienda mahakamani.

hatujawahi kuona vigogo kabla ya Kikwete wakisasambuliwa mahakamani zaidi ya wakati wa wake. Au na hili hulioni?
 
Nadhani umeshindwa kuelewa nadharia.

Kesi hii na ushahidi uliotolewa unamuhusisha vipi wizi RA na YM? hakuna ushahidi kabisa hapo. Inabaki kuwa madai na hakuna criminal case hapo.

Sijui kama unanielewa au na wewe ni katika wale wanaong'ang;ania visivyo kuwepo.

Nakumbuka walipokuwa wanashabikia humu JF Dowans wafutiwe mkataba, nilijaribu sana kupinga hilo na nikasema litigharimu serikali kiasi kikubwa cha fedha. Hakuna aliyenielewa. Matokeo tunayajuwa.

Na kwa hili nakuambieni hakuna "incriminating evidence" kwa RA wala YM. pelekeni mahakamani, mtakuja kuniambia matokeo yake. Hata huyo DPP kwa "ushahidi" uliowekwa hapa haifikishi hata mahakamani labda na yeye awe punguani.

Hata kesi ya Richmond ilipopelekwa mahakamani nikasema watashinda na tumeona kimekuwa nini. Kumbukeni, wengi wenu mko so emotional kwa mapenzi ya chama chenu, hamna uwezo wa kuuona ukweli ikiwa mtakuwa emotional kwa mapenzi yenu ya chama.

Nakwambieni tena hakuna kesi hapo, au hakuna ushahidi wa kumtia hatiani RA wala YM.

Yusuph Manji kuhamisha pesa kupitia bureau ni moja katim ya ushahidi wa kijinga sana niliouona hapa. Hivi Yusuf Manji ana hamisha mamilioni mangapi kila siku kupitia bureau yake kwa biashara zake. Akiitowa list yake hata hakimu atamuona alioleta huo ushahidi ni punguani.

Kuweni na mtazamo bila kuwa washabiki. Watanzania ushabiki wa huku tumefunga macho na masikio unatuponza kwenye mengi sana. Na hii ni kwa ngazi zote si kwa wana JF tuu. hata maamuzi mengine ya maana yanatolewa kiushabiki na si kama ilivyo. Mfano mdogo ni kufuta mkataba wa Dowans, ulikuwa ni ujinga wa hali ya juu. Na wahusika wote walifanya hivyo kufuata ushabiki ama kwa maslahi yao au ya vyeo vvyao.

we farasi unatetea nini?

au na wewe ni wale wale wa mumbai wanaotoka kwao masikini na kuja na broken english kuanzisha kampuni uchwara kwa mtindo wa kufukiza udi na kupora mali zetu?

kama kuna mtu ananikera hapa JF ni wewe.

unajifanya mtetezi wa kila kitu hata uoza.

unaongelea habari ya dowan. hujui kama baba yako na ngeleja walifanya safari zisizo na kikomo kwa ajili ya kwenda kutafuta chemba ya kugawana mpunga na yule jenerali feki wa dowans.

nyie siku yenyu inakuja mtakapoanguka kama mjomba yenu mjenga misikiti alivyoondolewa na mende ikulu ya tripoli
 
Nawaombeni wanachadema agenda hii isitumike kwenye kampeni za igunga kwani mtaleta uchochezi na kahatarisha usalama na amani ya nchi yetu. Ikumbukwe kwamba Ndugu RA ameteuliwa kufungua kampeni akiambatana na ndugu Ben so ongeeni yoote mnayoyafahamu sio hili. Thanks.
 
Nadhani umeshindwa kuelewa nadharia.

Kesi hii na ushahidi uliotolewa unamuhusisha vipi wizi RA na YM? hakuna ushahidi kabisa hapo. Inabaki kuwa madai na hakuna criminal case hapo.

Sijui kama unanielewa au na wewe ni katika wale wanaong'ang;ania visivyo kuwepo.

Nakumbuka walipokuwa wanashabikia humu JF Dowans wafutiwe mkataba, nilijaribu sana kupinga hilo na nikasema litigharimu serikali kiasi kikubwa cha fedha. Hakuna aliyenielewa. Matokeo tunayajuwa.

Na kwa hili nakuambieni hakuna "incriminating evidence" kwa RA wala YM. pelekeni mahakamani, mtakuja kuniambia matokeo yake. Hata huyo DPP kwa "ushahidi" uliowekwa hapa haifikishi hata mahakamani labda na yeye awe punguani.

Hata kesi ya Richmond ilipopelekwa mahakamani nikasema watashinda na tumeona kimekuwa nini. Kumbukeni, wengi wenu mko so emotional kwa mapenzi ya chama chenu, hamna uwezo wa kuuona ukweli ikiwa mtakuwa emotional kwa mapenzi yenu ya chama.

Nakwambieni tena hakuna kesi hapo, au hakuna ushahidi wa kumtia hatiani RA wala YM.

Yusuph Manji kuhamisha pesa kupitia bureau ni moja katim ya ushahidi wa kijinga sana niliouona hapa. Hivi Yusuf Manji ana hamisha mamilioni mangapi kila siku kupitia bureau yake kwa biashara zake. Akiitowa list yake hata hakimu atamuona alioleta huo ushahidi ni punguani.

Kuweni na mtazamo bila kuwa washabiki. Watanzania ushabiki wa huku tumefunga macho na masikio unatuponza kwenye mengi sana. Na hii ni kwa ngazi zote si kwa wana JF tuu. hata maamuzi mengine ya maana yanatolewa kiushabiki na si kama ilivyo. Mfano mdogo ni kufuta mkataba wa Dowans, ulikuwa ni ujinga wa hali ya juu. Na wahusika wote walifanya hivyo kufuata ushabiki ama kwa maslahi yao au ya vyeo vvyao.

Wewe mama unalo !!!! hebu siku moja tafuta muda ukae na upitie post zako zote hapa JF utajigundua jinsi ulivyo.
Mchango wako hapo juu unatia kichefuchefu na unazua maswali zaidi ya majibu
1. Taasisi husika za serkali pamoja na raisi wa JMT wanakubali kuwa hela zilichukuliwa BOT kupitia EPA kwa njia zisizo halali, baadhi ya watuhumiwa wameishafunguliwa kesi na wengine at least mmoja tayari ameisha fungwa jela. Wewe unasema hakuna criminal case eti ni madai!!!!!
2. Watuhumiwa wengine wa kosa hilo hilo akiwamo kagoda hawajafikishwa mbele ya sheria kujibu mashtaka juu yao. Sasa wewe unasema eti itakuwa ni makosa kuwafikisha mbele ya sheria kwa sababu itakuwa kama richmond na dowans kwa hiyo waachwe tu waendeleze huo wizi na udanganyifu wao bila kuzuiwa, hapa ninapata mashaka kidogo siyo tu juu ya uelewa wako wa sheria bali pia na uzalendo wako na matazamo wako na nia yako juu ya wananchi wa JMT.
3.Mtuhumiwa kwa sheria za nchi yetu hana hatia mpaka pale atakapo hukumiwa, Watuhumiwa RA na YM kama kwa watuhumiwa wengine wowote wa EPA wanastahili kupelekwa mahakamani kujibu tuhuma juu yao. Kama watapatikana na hatia au hapana si juu yako FF au mtu mwingine yeyote kuamua bali mahakama.
 
Msaada: nini kilichopelekea Goda wa Kinondoni Manyanya kumpa Msemakweli mkanda wa mkakati wote wa uporaji fedha hii ya umma?

ni kuongoka,kutumika na kundi/mtu flani,kutoswa kwenye mgao,...... n.k

kipindi kile Manji kulazwa hospitali Nairobi ilitokana na mshtuko baada ya kamati ya Mwanyika kufunga akaunti zake na kutaka kumfilisi?
 
sasa hao wengine si watajwe majina wote??????/
 
Njowepo,
Ninayohofu hata kwamba walivyomsikia tu kwamba ana ushahidi wa kuaminika huenda tayari MAGAMBA wamekwisha kumnyonya damu.

Kaneirugaba wewe kweli ni Mwanaharakati wa Awamu ya Nne ya Utawala wa Tifa hili.

Msemakweli kuwa makini maana hawa watu siku izi kuutoa uhai wa mtu ni kama kunywa maji tuu hasa unapoingilia maslai yao!
 
Back
Top Bottom