Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Nyaraka za kesi iliyofunguliwa na Halima Mdee na Wabunge wenzake dhidi ya CHADEMA kuhusu kuvuliwa uanachama na Ubunge wao....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda Chato kwa Jiwe haya si yakoNgoja tuone
Naipitia kwa uangalifu mkubwa ili nitoe ushauri wa kitaalamu kwa ama Chadema au Mahakama
Halima Mdee kabebeshwa msalaba.mzito sana yule binti!
Magufuli bado anaishi ndani ya bungeNenda Chato kwa Jiwe haya si yako
John, chadema hawasikilizagi chochote kutoka kwa wapuuzi.Ngoja tuone
Naipitia kwa uangalifu mkubwa ili nitoe ushauri wa kitaalamu kwa ama Chadema au Mahakama
Halima Mdee kabebeshwa msalaba.mzito sana yule binti!
How?Blanda
Ngoja tuone
Naipitia kwa uangalifu mkubwa ili nitoe ushauri wa kitaalamu kwa ama Chadema au Mahakama
Halima Mdee kabebeshwa msalaba.mzito sana yule binti!
Hapo wasema kweli. Tulia aliokotwa Jalalani kwa Mwanasheria Mkuu wa serikali. Sijui alimuibuaje au alikuwa chakula chake maana kila mwenye akili anajiuliza huyu Magufuli alimtoa wapi na kwa sababu gani! Kwa vigezo vipi Kama siyo vyupiMagufuli bado anaishi ndani ya bunge
Ndio sababu siku zote wanaangukia puaJohn, chadema hawasikilizagi chochote kutoka kwa wapuuzi.
By sex, not age I guess that is what he meantHalima ni binti, au una miaka 100 nini?
Kwenye mahakama za haki haitatokea Chadema ikaangukia puaNdio sababu siku zote wanaangukia pua
Kamati Kuu iliwaita wakaingia mitini, na hata kwenye baraza kuu walipewa nafasi ya kujitetea lakini bado wakanyamaza kimya.Sasa kwanini kamati kuu ya chama hakutaka kuwasikiliza??
Hiyo ni ground tosha ya kutupilia mbali hayo maamuzi.
The right to a right to be heard ni fundamental.
Nao watafurahi, maana hao wameshajitoa ufahamu. Let it be documented, ikitokea mabadiriko ya serikali kuwe na kumbukumbu ya kuwaadabisha kwa matumizi mabaya ya ofisi INCLUDING NA MAJAJI WANAOTOA HUKUMU ZA WAZI KUWA HII NI DELIBERATE UKIUKWAJI WA HAKINingekuwa na maamuzi ndani ya CHADEMA nisingeenda hata mahakani.
Katiba inataka mbunge awe na chama. Nimewafukuza hao.
Si wanachama. Basi waendelee kuwalinda.
Hii ni fursa nyingine ya wakubwa kujivua nguo hadharani..Nyaraka za kesi iliyofunguliwa na Halima Mdee na Wabunge wenzake dhidi ya CHADEMA kuhusu kuvuliwa uanachama na Ubunge wao....
View attachment 2227602
View attachment 2227603
View attachment 2227604
View attachment 2227605
View attachment 2227606
View attachment 2227607
View attachment 2227608
View attachment 2227609
View attachment 2227610
View attachment 2227612
View attachment 2227613
View attachment 2227615
View attachment 2227616
View attachment 2227617
View attachment 2227618
View attachment 2227619
View attachment 2227620
View attachment 2227621
View attachment 2227622
View attachment 2227623
Kamati Kuu iliwaita wakaingia mitini, na hata kwenye baraza kuu walipewa nafasi ya kujitetea lakini bado wakanyamaza kimya.
Zaidi, kuna kifungu kwenye Katiba ya Chadema kinachoruhusu uamuzi utolewe kwa dharura.
Kanuni za Chama
6.5.2 Kwa mujibu wa Ibara 5.4.3 na 5.4.4 ya Katiba, mwanachama yeyote hatachukuliwa hatua za kinidhamu ama kuonywa ama kuachishwa ama kufukuzwa uanachama bila kwanza:
(a) Kujulishwa makosa yake kwa maandishi na kutakiwa kutoa majibu katika muda usiopungua wiki mbili.
(b) (c) (d) Kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya kikao kinachohusika.
Mwanachama atajulishwa kwa maandishi uamuzi wa kikao mnamo wiki mbili baada ya kusikilizwa.
Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura bila kuzingatia utaratibu wa kifungu (a) na (b) hapo juu kama itaona maslahi ya Chama kwa ujumla yanaweza kuathiriwa isipokuwa mwachama au kiongozi anayelalamikiwa atalazimika kuitwa kwenye kikao husika.
Hapo tu kuna waliopewa taarifa kwa simu na bila kufafanuliwa makosa yao ili wapate muda wa kutoa utetezi.
Ukiendelea mbele...
6.5.6 Kiongozi yeyote hatachukuliwa hatua za kinidhamu bila kwanza kupewa mashitaka kwa maandishi na mamlaka husika na kupewa nafasi ya kujibu mashitaka kwa maandishi.
6.5.7 Kiongozi mhusika, zaidi ya utetezi wa maandishi, atapewa nafasi ya kujieleza bayana mbele ya kikao cha mamlaka ya nidhamu.
6.5.8 Kiongozi aliyeadhibiwa atapewa taarifa ya misingi ya maamuzi ya mamlaka ya nidhamu ili kumwezesha kuamua kukata rufani au la.
Katika wote hakuna aliyepewa mashitaka kwa maandishi wala nafasi ya kutoa utetezi wala taarifa ya msingi ya mamlaka ya nidhamu. Mpaka hapo mwenendo mzima wa kuwafukuza uanachama ukawa batili.
Ukiwa na swali jingine uliza.