Nyaraka za kesi iliyofunguliwa na Halima Mdee na Wabunge wenzake dhidi ya CHADEMA

Nyaraka za kesi iliyofunguliwa na Halima Mdee na Wabunge wenzake dhidi ya CHADEMA

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Nyaraka za kesi iliyofunguliwa na Halima Mdee na Wabunge wenzake dhidi ya CHADEMA kuhusu kuvuliwa uanachama na Ubunge wao....

0001.jpg


0002.jpg


0003.jpg


0004.jpg


0005.jpg


0006.jpg


0007.jpg


0008.jpg


0009.jpg


0010.jpg


0011.jpg


0012.jpg


0013.jpg


0014.jpg


0015.jpg


0016.jpg


0017.jpg


0018.jpg


0019.jpg


0020.jpg
 
Hii kesi itakuwa nzuri sana mbele ya safari hao parties wakianza kujitetea, hasa mwanasheria mkuu wa serikali na mwenyekiti wa tume.

Zile forgery, na yale majina ya kina Mdee tujue nani walipeleka kwa tume, naona zike aibu za kesi ya mchongo ya Mbowe zinaenda kujirudia, wajinga hawajifunzi.
 
Sasa kwanini kamati kuu ya chama hakutaka kuwasikiliza??

Hiyo ni ground tosha ya kutupilia mbali hayo maamuzi.

The right to a right to be heard ni fundamental.
 
Sasa kwanini kamati kuu ya chama hakutaka kuwasikiliza??

Hiyo ni ground tosha ya kutupilia mbali hayo maamuzi.

The right to a right to be heard ni fundamental.
Kamati Kuu iliwaita wakaingia mitini, na hata kwenye baraza kuu walipewa nafasi ya kujitetea lakini bado wakanyamaza kimya.

Zaidi, kuna kifungu kwenye Katiba ya Chadema kinachoruhusu uamuzi utolewe kwa dharura.
 
Ningekuwa na maamuzi ndani ya CHADEMA nisingeenda hata mahakani.

Katiba inataka mbunge awe na chama. Nimewafukuza hao.

Si wanachama. Basi waendelee kuwalinda.
Nao watafurahi, maana hao wameshajitoa ufahamu. Let it be documented, ikitokea mabadiriko ya serikali kuwe na kumbukumbu ya kuwaadabisha kwa matumizi mabaya ya ofisi INCLUDING NA MAJAJI WANAOTOA HUKUMU ZA WAZI KUWA HII NI DELIBERATE UKIUKWAJI WA HAKI
 
Kamati Kuu iliwaita wakaingia mitini, na hata kwenye baraza kuu walipewa nafasi ya kujitetea lakini bado wakanyamaza kimya.

Zaidi, kuna kifungu kwenye Katiba ya Chadema kinachoruhusu uamuzi utolewe kwa dharura.
Kanuni za Chama

6.5.2 Kwa mujibu wa Ibara 5.4.3 na 5.4.4 ya Katiba, mwanachama yeyote hatachukuliwa hatua za kinidhamu ama kuonywa ama kuachishwa ama kufukuzwa uanachama bila kwanza:
(a) Kujulishwa makosa yake kwa maandishi na kutakiwa kutoa majibu katika muda usiopungua wiki mbili.
(b) (c) (d) Kupewa nafasi ya kujitetea mbele ya kikao kinachohusika.
Mwanachama atajulishwa kwa maandishi uamuzi wa kikao mnamo wiki mbili baada ya kusikilizwa.
Kamati Kuu inaweza kuchukua hatua za dharura bila kuzingatia utaratibu wa kifungu (a) na (b) hapo juu kama itaona maslahi ya Chama kwa ujumla yanaweza kuathiriwa isipokuwa mwachama au kiongozi anayelalamikiwa atalazimika kuitwa kwenye kikao husika.

Hapo tu kuna waliopewa taarifa kwa simu na bila kufafanuliwa makosa yao ili wapate muda wa kutoa utetezi.
Ukiendelea mbele...

6.5.6 Kiongozi yeyote hatachukuliwa hatua za kinidhamu bila kwanza kupewa mashitaka kwa maandishi na mamlaka husika na kupewa nafasi ya kujibu mashitaka kwa maandishi.

6.5.7 Kiongozi mhusika, zaidi ya utetezi wa maandishi, atapewa nafasi ya kujieleza bayana mbele ya kikao cha mamlaka ya nidhamu.

6.5.8 Kiongozi aliyeadhibiwa atapewa taarifa ya misingi ya maamuzi ya mamlaka ya nidhamu ili kumwezesha kuamua kukata rufani au la.

Katika wote hakuna aliyepewa mashitaka kwa maandishi wala nafasi ya kutoa utetezi wala taarifa ya msingi ya mamlaka ya nidhamu. Mpaka hapo mwenendo mzima wa kuwafukuza uanachama ukawa batili.

Ukiwa na swali jingine uliza.
 
Back
Top Bottom