Chairman Lee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,353
- 1,492
Mwenye Pdf kesi Ile ya wabunge wa Cuf [emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaitwa mahakamani hutaki kwenda kwamba kuna Korona lakini disco unaonekana. Kesi ikiamriwa upande mmoja unazua malalamiko?Lakini hizo sababu ni za msingi.
Maamuzi ya mahakama yatawavua nguo Chadema.Barua ile ni ipi, walipelekewa wito na wakapokea kwa dispatch hawakutokea ulitaka chama kikawabembeleze majumbani mwao, case crossed.
Baraza lilipaswa kutengua maamuzi ya kamati kuu kwa kuielekeza kamati kuu kuwasikiliza hao kina mama ila kwakua siasa imetawala basi nao wakathibitisha tu maamuzi ya kamati kuu.
Hacheni kuharibu Basi nguvu ya mzee Mtei kuanzisha chama chake,mbona mnapenda sana kuonekana wahuni?
Wewe ndio mpumbavu kwa kujifanya unajua mambo ambayo huyajui.Mahakama ikitoa wito wa kufika kwa shauri na usifike je maamuzi ya mahakama ni batili. Eti sababu ni kusibiria joto la kisiasa lipungue mpaka lini au kwa siku ngapi. Utetezi wa kijinga.
Haki ya kusikilizwa ni muhimu sana mkuu.
Na mara zote mahakama inabatilisha maamuzi yoyote yale ambayo mhusika hakusikilizwa.
Chadema baada ya kupokea barua ile walipaswa kukubaliana nao na kuwapa fursa nyingine ila hawakufanya hivyo.
Chadema wanapaswa kuja na ushahidi sasa kwamba baada ya kupokea barua ile walifanya jitihada zote kuwapata wahusika lakini wahusika hawakufika katika kamati kujitetea.
Kwa udhaifu huo Chadema wanakwenda kushindwa kesi hii.
Na watailamu mahakama. Wamefanya uzembe mkubwa sana. Ila they won't admit in public.
Wewe ndio mpumbavu kwa kujifanya unajua mambo ambayo huyajui.
I cant waste my time debating with you.
Idiot.Stupid bastard
Hata sioni mantiki kwenye hili jibu lako.Soma hicho kiapo.
Wametoa sababu kwanini walishindwa kuhudhuria na walifanya hivyo kwa maandishi.
Hakukua na sababu ya kujitetea kwenye baraza kuu kama hukusikilizwa na kamati kuu.
Kwakua baraza kuu ni kikao cha rufani ya maamuzi ya kamati kuu.
Walikua sahihi kutozungumza wangefanya hivyo ingekua wanahalalisha kitendo cha kamati kuu kutowasikiliza.
Hapo Chadema wanapigwa kwa maamuzi yao mabaya na watasingizia mahakama haipo huru kumbe ni uzembe wao.
Tumeshawazoea hata kesi ya ugaidi wa Mbowe mlikuwa mnajazana upepo huu huu eti hatoki.Maamuzi ya mahakama yatawavua nguo Chadema.
Hamtaepuka aibu ya kuonesha uzembe wa hali ya juu.
Hoja yako pia haina mantiki yeyote ni upotevu tu wa muda kuandelea na mjadala.Hata sioni mantiki kwenye hili jibu lako.
Ok, walidai waliona hatari siku ile ya kwenda kusikilizwa wakijitetea kama wangeenda, sasa wakachukua hatua gani za kujilinda? au walitaka Chadema ndio kiwatafutie ulinzi?
Kama walikataa kuzungumza kwenye baraza kuu tena baada ya kuitwa mara 3 sasa walikata rufaa ya nini, watapigwa asubuhi saa 2 tu.Soma hicho kiapo.
Wametoa sababu kwanini walishindwa kuhudhuria na walifanya hivyo kwa maandishi.
Hakukua na sababu ya kujitetea kwenye baraza kuu kama hukusikilizwa na kamati kuu.
Kwakua baraza kuu ni kikao cha rufani ya maamuzi ya kamati kuu.
Walikua sahihi kutozungumza wangefanya hivyo ingekua wanahalalisha kitendo cha kamati kuu kutowasikiliza.
Hapo Chadema wanapigwa kwa maamuzi yao mabaya na watasingizia mahakama haipo huru kumbe ni uzembe wao.
Mmaojazana upepo ni nyie.Tumeshawazoea hata kesi ya ugaidi wa Mbowe mlikuwa mnajazana upepo huu huu eti hatoki.
Kwa ushahidi gani wa Kingai aliyekuwa anaomba kuharisha kila dakika. Mwambie Halima aandae pampas za kutosha maana maswali ya Kibatala sio ya nchi hii.Mmaojazana upepo ni nyie.
Kama sio huruma Mbowe alikua anakula mvua ya kutosha.
Hilo analifahamu.
Uwe unatumia akili kufikiriaNingekuwa na maamuzi ndani ya CHADEMA nisingeenda hata mahakani.
Katiba inataka mbunge awe na chama. Nimewafukuza hao.
Si wanachama. Basi waendelee kuwalinda.
Hahahahahaha.........bwashe cheki na Pascal Mayalla kuhusiana na utaalam wa kisheria. Ana A ya constitutional law.Ngoja tuone
Naipitia kwa uangalifu mkubwa ili nitoe ushauri wa kitaalamu kwa ama Chadema au Mahakama
Halima Mdee kabebeshwa msalaba mzito sana yule binti!
Na sasa kageuka mtumwa aisee akikumbuka tu mahabusu haraka anakimbia akiitwa hakuna mchezo kabisa.Kwa ushahidi gani wa Kingai aliyekuwa anaomba kuharisha kila dakika. Mwambie Halima aandae pampas za kutosha maana maswali ya Kibatala sio ya nchi hii.
Haki ya kusikilizwa ni muhimu sana mkuu.
Na mara zote mahakama inabatilisha maamuzi yoyote yale ambayo mhusika hakusikilizwa.
Chadema baada ya kupokea barua ile walipaswa kukubaliana nao na kuwapa fursa nyingine ila hawakufanya hivyo.
Chadema wanapaswa kuja na ushahidi sasa kwamba baada ya kupokea barua ile walifanya jitihada zote kuwapata wahusika lakini wahusika hawakufika katika kamati kujitetea.
Kwa udhaifu huo Chadema wanakwenda kushindwa kesi hii.
Na watailamu mahakama. Wamefanya uzembe mkubwa sana. Ila they won't admit in public.