Nyaraka za kesi iliyofunguliwa na Halima Mdee na Wabunge wenzake dhidi ya CHADEMA

Nyaraka za kesi iliyofunguliwa na Halima Mdee na Wabunge wenzake dhidi ya CHADEMA

Kamati Kuu iliwaita wakaingia mitini, na hata kwenye baraza kuu walipewa nafasi ya kujitetea lakini bado wakanyamaza kimya.

Zaidi, kuna kifungu kwenye Katiba ya Chadema kinachoruhusu uamuzi utolewe kwa dharura.
Soma hicho kiapo.

Wametoa sababu kwanini walishindwa kuhudhuria na walifanya hivyo kwa maandishi.

Hakukua na sababu ya kujitetea kwenye baraza kuu kama hukusikilizwa na kamati kuu.

Kwakua baraza kuu ni kikao cha rufani ya maamuzi ya kamati kuu.

Walikua sahihi kutozungumza wangefanya hivyo ingekua wanahalalisha kitendo cha kamati kuu kutowasikiliza.

Hapo Chadema wanapigwa kwa maamuzi yao mabaya na watasingizia mahakama haipo huru kumbe ni uzembe wao.
 
Sasa kwanini kamati kuu ya chama hakutaka kuwasikiliza??

Hiyo ni ground tosha ya kutupilia mbali hayo maamuzi.

The right to a right to be heard ni fundamental.
Walipoitwa kamati kuu walikataa kwa visingizio kwamba wanahofia usalama wao! Kwamba kuna kundi la wanachadema wamejipanga kuwafanyia fujo! Ajabu na kweli ni kwamba kwenye halimashauri kuu walienda kwa maandamano wakiwa wamevaa magwanda! Kwa hiyo hakuna fundamental yoyote hapo, ni uhuni tu, na watapigwa tu hivyo hivyo!
 
Sasa kwanini kamati kuu ya chama hakutaka kuwasikiliza??

Hiyo ni ground tosha ya kutupilia mbali hayo maamuzi.

The right to a right to be heard ni fundamental.
Sheria ya viapo inataka Kila mleta na mjibu maombi ya kiapo Asaini kwenye kiapo husika.
.
Ukiangalia application ya akina halima wako 19 Ila Halima Mdee Pekee ndio amesaini tu.😃😃😃
.
Hii application Yao Ina P.O Kibao 😃😃😃
.
Maana Hii affidavit kiapo kimeapwa na Applicant mmoja Tu ambae ni Halima mdee lakini wakili kasaini kama advocate for the applicants so hao applicant wengine mbona hawajasaini kwenye Hiko kiapo kama facts zao Zote zinafanaa?
.
Kama kiapo ni Cha Halima Tu Kwa nn injunction itolewe Kwa applicants Wengine wakati Hawana viapo vyao mbele ya Mahakama?.
.
Sidhani kama Kanuni ya overriding objection Ina apply hapa.
.
Pia Kuna respondent ameshitakiwa kama The Honourable attorney general hakuna mtu Taasisi ya Serikali inayotakiwa kushitaki au kushitaki inayoitwa Hivyo Bali Kuna The Attorney General
.
Ukinambia overriding objection ina apply hapa nitashangaa sana Maana ni Watu wawili Tofauti.
.
But I stand to be corrected
 
Sasa kwanini kamati kuu ya chama hakutaka kuwasikiliza??

Hiyo ni ground tosha ya kutupilia mbali hayo maamuzi.

The right to a right to be heard ni fundamental.
Kamati Kuu iliwaita wakakataa wenyewe eti watafanyiwa fujo sababu zisizo na evidence yeyote au ulikuwa hujazaliwa.

Ajabu wameitwa kwenye Baraza Kuu wameenda wameambiwa jiteteeni wakakunja 4, tuambie nani kawafanyia fujo.

It is the last kick of a dying horse.
 
Kamati Kuu iliwaita wakakataa wenyewe eti watafanyiwa fujo sababu zisizo na evidence yeyote au ulikuwa hujazaliwa.

Ajabu wameitwa kwenye Baraza Kuu wameenda watuambie nani kawafanyia fujo.

It is the last kicks of a dying horse.
Hata walipotaja kufanyiwa fujo waliambiwa ifanyike online,wakaingia mitini
 
Naona ikiahirishwa x2 ikafika 2025 na Bunge hili lilivunjwa kesi itakuwa imepitwa na wakati na kutupiliwa mbali au?
 
Naona iki ahirishwa x2, ikafika 2025 na Bunge hili likavunjwa kesi itakuwa imepitwa na wakati na kutupiliwa mbali au?
 
Kamati Kuu iliwaita wakakataa wenyewe eti watafanyiwa fujo sababu zisizo na evidence yeyote au ulikuwa hujazaliwa.

Ajabu wameitwa kwenye Baraza Kuu wameenda watuambie nani kawafanyia fujo.

It is the last kicks of a dying horse.
Lakini hizo sababu ni za msingi.
 
Back
Top Bottom