Nyaraka za kesi iliyofunguliwa na Halima Mdee na Wabunge wenzake dhidi ya CHADEMA

Nyaraka za kesi iliyofunguliwa na Halima Mdee na Wabunge wenzake dhidi ya CHADEMA

Hii kesi itakuwa nzuri sana mbele ya safari hao parties wakianza kujitetea, mwanasheria mkuu wa serikali na mwenyekiti wa tume.

Zile forgery, na yale majina ya kina Mdee tujue nani walipeleka kwa tume, naona zike aibu za kesi ya mchongo ya Mbowe zinaenda kujirudia, wajinga hawajifunzi.
.
 
By all aspects 40yrs+ is no longer a binti, I stand to be corrected.
Utakuwa unaongelea msichana bila shaka..
Otherwise, kwa mfano walimaanisha nini kumuita yule bibi marehemu Bi Kidude (Rip), binti fulani?
Maana walikuwa wakimuita Fatma binti Baraka!
 
Hapo wasema kweli. Tulia aliokotwa Jalalani kwa Mwanasheria Mkuu wa serikali. Sijui alimuibuaje au alikuwa chakula chake maana kila mwenye akili anajiuliza huyu Magufuli alimtoa wapi na kwa sababu gani! Kwa vigezo vipi Kama siyo vyupi

Hacheni kuharibu Basi nguvu ya mzee Mtei kuanzisha chama chake,mbona mnapenda sana kuonekana wahuni?
 
Ningekuwa na maamuzi ndani ya CHADEMA nisingeenda hata mahakani.

Katiba inataka mbunge awe na chama. Nimewafukuza hao.

Si wanachama. Basi waendelee kuwalinda.
Equitable mm niliishaona hiyo scenario ndo maana nilitoa angalizo kuwa hawa wadada wataenda mahakamani na mpaka bunge liishe ndipo haki itatolewa.so CDM should be call pending to judgement.
 
Soma hicho kiapo.

Wametoa sababu kwanini walishindwa kuhudhuria na walifanya hivyo kwa maandishi.

Hakukua na sababu ya kujitetea kwenye baraza kuu kama hukusikilizwa na kamati kuu.

Kwakua baraza kuu ni kikao cha rufani ya maamuzi ya kamati kuu.

Walikua sahihi kutozungumza wangefanya hivyo ingekua wanahalalisha kitendo cha kamati kuu kutowasikiliza.

Hapo Chadema wanapigwa kwa maamuzi yao mabaya na watasingizia mahakama haipo huru kumbe ni uzembe wao.

Kama hawakuwa na sababubya kujitetea kwenye baraza Kuu kwanini walikata rufaa baraza hilo?
 
Hapo wasema kweli. Tulia aliokotwa Jalalani kwa Mwanasheria Mkuu wa serikali. Sijui alimuibuaje au alikuwa chakula chake maana kila mwenye akili anajiuliza huyu Magufuli alimtoa wapi na kwa sababu gani! Kwa vigezo vipi Kama siyo vyupi
Kama kuna jambo ambalo ulipangiwa katika ulimwengu huu hata ukiwa machakani lazima litimie.
 
Kama hawakuwa na sababubya kujitetea kwenye baraza Kuu kwanini walikata rufaa baraza hilo?
Baraza lilipaswa kutengua maamuzi ya kamati kuu kwa kuielekeza kamati kuu kuwasikiliza hao kina mama ila kwakua siasa imetawala basi nao wakathibitisha tu maamuzi ya kamati kuu.
 
Sawa ni za msingi lkn hazina ushahidi wa kutosha, mahakamani haitoshi kusema tu kwa mdomo kuwa umeonewa lazima uonyeshe umeonewaje.
Haki ya kusikilizwa ni muhimu sana mkuu.

Na mara zote mahakama inabatilisha maamuzi yoyote yale ambayo mhusika hakusikilizwa.

Chadema baada ya kupokea barua ile walipaswa kukubaliana nao na kuwapa fursa nyingine ila hawakufanya hivyo.

Chadema wanapaswa kuja na ushahidi sasa kwamba baada ya kupokea barua ile walifanya jitihada zote kuwapata wahusika lakini wahusika hawakufika katika kamati kujitetea.

Kwa udhaifu huo Chadema wanakwenda kushindwa kesi hii.

Na watailamu mahakama. Wamefanya uzembe mkubwa sana. Ila they won't admit in public.
 
Mahakama na Bunge matope kabisa tuna vyombo kama mbwa koko ni aibu
 
Hapo wasema kweli. Tulia aliokotwa Jalalani kwa Mwanasheria Mkuu wa serikali. Sijui alimuibuaje au alikuwa chakula chake maana kila mwenye akili anajiuliza huyu Magufuli alimtoa wapi na kwa sababu gani! Kwa vigezo vipi Kama siyo vyupi
aliyemsogeza serilikalini ni Kikwete
 
Sasa kwanini kamati kuu ya chama hakutaka kuwasikiliza??

Hiyo ni ground tosha ya kutupilia mbali hayo maamuzi.

The right to a right to be heard ni fundamental.

Umesoma vizuri?. Kamati kuu iliwaita, wenyewe kwa uoga wakaamua kuomba kuhairishwa lakini kamati kuu ikakataa. Yani walitaka kuipangia kamati kuu muda wa kusikiliza shauri sii kwamba kamati kuu ilikataa.
 
Haki ya kusikilizwa ni muhimu sana mkuu.

Na mara zote mahakama inabatilisha maamuzi yoyote yale ambayo mhusika hakusikilizwa.

Chadema baada ya kupokea barua ile walipaswa kukubaliana nao na kuwapa fursa nyingine ila hawakufanya hivyo.

Chadema wanapaswa kuja na ushahidi sasa kwamba baada ya kupokea barua ile walifanya jitihada zote kuwapata wahusika lakini wahusika hawakufika katika kamati kujitetea.

Kwa udhaifu huo Chadema wanakwenda kushindwa kesi hii.

Na watailamu mahakama. Wamefanya uzembe mkubwa sana. Ila they won't admit in public.

Barua ile ni ipi, walipelekewa wito na wakapokea kwa dispatch hawakutokea ulitaka chama kikawabembeleze majumbani mwao, case crossed.
 
Back
Top Bottom