Nyaraka za siri za US zimevuja : Russia jammed US Smart bombs

Nyaraka za siri za US zimevuja : Russia jammed US Smart bombs

Zacht

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2020
Posts
1,026
Reaction score
2,266
Nyaraka hizo za siri za pentagon zilizovuja zimeonyesha hali ya vita Ukraine hasa kwa upande wa maendeleo ya silaha za marekani zilizokuwa uwanja wa vita.

Nyaraka hizo zimeeleza kuwa Russia ime-jammed mabom yanayo ongozwa na GPS (Smart bombs) pamoja na guided rockets zinazotumia mfumo wa GPS , kitu ambacho kinapelekea makombora na mabomu hayo kushindwa kufanya kazi kwa ufasaha wake na kupoteza target yake.

Desemba 2022 marekani ilianza kutuma silaha za hali ya juu (advanced weapons) Ukraine zitazoweza kubadilisha hali ya vita zikiwemo smarts bombs na guided rockets zenye uwezo wa kulenga shabaha kwa majeshi ya Russia kwa usahihi mkubwa.
Lakini silaha hizo zimepata matokeo tofauti na ilivyotarajiwa na zimekosa shabaha zake kwenye uwanja wa vita, kulingana na nyaraka ziliyovuja ambayo imethibitishwa na afisa wa Marekani, ambaye hakutaka kutajwa jina lake.

Urusi inatumia GPS jamming kuingilia( interfere) mfumo wa makombora ,hivyo mabomu na rockets zinatumia mfumo wa GPS zikukutana na hiki kifaa zinakosa muelekeo na kupotezewa target yake na kufanya siraha hizo kuishindwa kufanya kazi kwa ufasaha wake.

Screenshot_20230415-144920.png


 
What's the source of this misinformation and why hasn't the belligerent Russians prevailed in the war that has failed to come to an end..!!
Misinformation? your divice doesn't display Link I guess. Nimeweka link from non- Russian pro media ili msilete visingizio vya propaganda.

Well Ngoja nilikuletee nyingine from US top political website.

 
Waongo hao hayo makombora yao ni mabovu.
Waache visingizio ati sijui nini na nini,
Sio kila silaha ya Marekani ni superior. Kwenye vita hata kama unapigana na Burundi kuna sehemu anajua au anatoa upinzani. Hiyo smart bomb ni joint direct attack munition (JDAM) ambayo ni kit inaongezwa kwenye dumb bombs au gravity bombs kuzipa accuracy. Hizo JDAM hazijatengenezwa direct kwamba ni smart kama guided missiles au guided rockets.

Kuna njia ya kufanya jamming ya GPS au satellite communication ndio maana makombora huwa satellite guided na yanaongezewa na vitu kama inertia navigation, terrain following, TV guided (hasa Urusi wanapenda hii), n.k.

Kwanza Urusi kwenye vita hii wameonekana wako vizuri kwenye electronic warfare kwa ground based systems.
 
What's the source of this misinformation and why hasn't the belligerent Russians prevailed in the war that has failed to come to an end..!!
Na kwa taarifa yako sio tu Smart bomb na guided rocket zimekuwa intercepted na Russia hata makombora ya Himars yamekuwa intercepted na Russia Air defense system,

Makombora kumi yalikuwa intercepted na kuharibiwa
 
Sio kila silaha ya Marekani ni superior. Kwenye vita hata kama unapigana na Burundi kuna sehemu anajua au anatoa upinzani. Hiyo smart bomb ni joint direct attack munition (JDAM) ambayo ni kit inaongezwa kwenye dumb bombs au gravity bombs kuzipa accuracy. Hizo JDAM hazijatengenezwa direct kwamba ni smart kama guided missiles au guided rockets.

Kuna njia ya kufanya jamming ya GPS au satellite communication ndio maana makombora huwa satellite guided na yanaongezewa na vitu kama inertia navigation, terrain following, TV guided (hasa Urusi wanapenda hii), n.k.

Kwanza Urusi kwenye vita hii wameonekana wako vizuri kwenye electronic warfare kwa ground based systems.
Huwezi kuwa Bora kwa kila kitu
Marekani kwenye kuunda siraha zilizo most advanced mfano Himars ,Smart bombs na guided rocket yupo vizuri sana ,ila tukija kwenye electronic warfare amechwa nyuma na Russia . urusi hapa anafanya vizuri sana

Ndio zimekuwa intercepted kwa urahis sana Russia
 
Huwezi kuwa Bora kwa kila kitu
Marekani kwenye kuunda siraha zilizo most advanced mfano Himars ,Smart bombs na guided rocket yupo vizuri sana ,ila tukija kwenye electronic warfare amechwa nyuma na Russia . urusi hapa anafanya vizuri sana

Ndio zimekuwa intercepted kwa urahis sana Russia
Urusi yupo vizuri kwenye ground based EW systems. Kwenye airborne haikaribii Israel wala Marekani, hata China tu jamming pods zake za J-16 na hata J-10D zinazidi mbali za Russia kina Kibhiny.

Urusi hayupo among the best kwenye kutengeneza microchips na electronics, vifaa vyake vinakuwa vikubwa uneccessarily na vinatumia energy kubwa kiasi kwamba vikibebwa na ndege kwenye size ileile na vya wenzake vinakuwa na performance ndogo. Ardhini ndio hata wakifunga semi zima limejaa vifaa watajua mbele ya safari
 
Back
Top Bottom