Nyaraka za siri za US zimevuja : Russia jammed US Smart bombs

Nyaraka za siri za US zimevuja : Russia jammed US Smart bombs

Misinformation? your divice doesn't display Link I guess. Nimeweka link from non- Russian pro media ili msilete visingizio vya propaganda.

Well Ngoja nilikuletee nyingine from US top political website.

Haya Mataifa makubwa yanajuana vizuri ktk Siri za technology za siraha.
 
Sio kila silaha ya Marekani ni superior. Kwenye vita hata kama unapigana na Burundi kuna sehemu anajua au anatoa upinzani. Hiyo smart bomb ni joint direct attack munition (JDAM) ambayo ni kit inaongezwa kwenye dumb bombs au gravity bombs kuzipa accuracy. Hizo JDAM hazijatengenezwa direct kwamba ni smart kama guided missiles au guided rockets.

Kuna njia ya kufanya jamming ya GPS au satellite communication ndio maana makombora huwa satellite guided na yanaongezewa na vitu kama inertia navigation, terrain following, TV guided (hasa Urusi wanapenda hii), n.k.

Kwanza Urusi kwenye vita hii wameonekana wako vizuri kwenye electronic warfare kwa ground based systems.
Yes tena kwa 70%
 
Sawa ila Allah za roho wenu hawezi kumkomboa mwanajihad mwenzenu Russia dhidi ya fimbo za m-U.S.A .....U.S.A ni nyani mzee haogopi umande..

Yaani anaweza kuwaunganisha middle East,China,M-N.korea,India na Russia na akawatandika za makalio
Wewe kama una Basha huko US endelea kutoa huduma ila kutaja taja wanaume wengine kama RUSSIA tena Kwa kejeli ukomw
 
Na ni mwezi sasa Russia anaipigania Bakhmut [emoji28][emoji28][emoji28]

Akili ya mmarekani anaijua mwenyewe
Ni Mwezi Sasa Nato plus USA wanapambania Bhamut na Russia.
Fuatilia Leo 15/04 Washirika wameanza kurudi nyuma. Ndio maana Kamanda wa Wagna ameomba utawala wa Russia watangazie Dunia kuwa Special Military operation imekwisha.
 
Wewe kama una Basha huko US endelea kutoa huduma ila kutaja taja wanaume wengine kama RUSSIA tena Kwa kejeli ukomw
Pole eti..Kumbe Russia ni mumeo.? ...usije ukalia lia maana umemuita mwenyewe...
 
Sawa ila Allah za roho wenu hawezi kumkomboa mwanajihad mwenzenu Russia dhidi ya fimbo za m-U.S.A .....U.S.A ni nyani mzee haogopi umande..

Yaani anaweza kuwaunganisha middle East,China,M-N.korea,India na Russia na akawatandika za makalio
Taliban
 
What's the source of this misinformation and why hasn't the belligerent Russians prevailed in the war that has failed to come to an end..!!
In chaos we create..... Kwa sasa vita nzuri kwa maslahi ya urusi... Dunia inachangamka
 
Sawa ila Allah za roho wenu hawezi kumkomboa mwanajihad mwenzenu Russia dhidi ya fimbo za m-U.S.A .....U.S.A ni nyani mzee haogopi umande..

Yaani anaweza kuwaunganisha middle East,China,M-N.korea,India na Russia na akawatandika za makalio
Tuseme tu NATO kwa sababu tukianza kuwa mention itakuwa ni aibu
Russia amewabanda NATO kwenye kona moja inaitwa ukraini anawapatia mfueni vipi!
pa kupumulia hawana wako tu wanatapatapa
Kile unaongea ni impossible tense chief

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Sawa ila Allah za roho wenu hawezi kumkomboa mwanajihad mwenzenu Russia dhidi ya fimbo za m-U.S.A .....U.S.A ni nyani mzee haogopi umande..

Yaani anaweza kuwaunganisha middle East,China,M-N.korea,India na Russia na akawatandika za makalio
Hata yeye hutegemea asaidiwe na England, France, Poland, Australia, Canada nk.
Iraq kwenyewe walikuwa nchi hizo.
Hakwenda peke yake.
 
Kumbe,sasa ikawaje bado himars zaendelea kuua wagners
 
Na ni mwezi sasa Russia anaipigania Bakhmut 😅😅😅

Akili ya mmarekani anaijua mwenyewe
Mwezi? Bakhmut wameanza kuipigania August 2022, wiki ileile Soledar wameanza kuipigania. Huku RuArmy, huku Wagner
 
Back
Top Bottom