Jacob kalokola
JF-Expert Member
- Mar 26, 2022
- 893
- 2,721
Haya Mataifa makubwa yanajuana vizuri ktk Siri za technology za siraha.Misinformation? your divice doesn't display Link I guess. Nimeweka link from non- Russian pro media ili msilete visingizio vya propaganda.
Well Ngoja nilikuletee nyingine from US top political website.
US guided rockets in Ukraine are being jammed by Russia
U.S.-made smart bombs provided to Ukraine are being jammed by Russia and are missing their targets, according to a Politico review of a leaked Pentagon document. Russia is electronically jamming thβ¦thehill.com
We ni bogus kabisa SIRI ZA SHETANI zinavuja sembuse za marekani? Kapimwe mkojo na n'nya watakuta visimbuzi vya schizophreniaNikutoe wasiwasi tu nyaraka ya pentagon haiwez kuvuja.
Yes tena kwa 70%Sio kila silaha ya Marekani ni superior. Kwenye vita hata kama unapigana na Burundi kuna sehemu anajua au anatoa upinzani. Hiyo smart bomb ni joint direct attack munition (JDAM) ambayo ni kit inaongezwa kwenye dumb bombs au gravity bombs kuzipa accuracy. Hizo JDAM hazijatengenezwa direct kwamba ni smart kama guided missiles au guided rockets.
Kuna njia ya kufanya jamming ya GPS au satellite communication ndio maana makombora huwa satellite guided na yanaongezewa na vitu kama inertia navigation, terrain following, TV guided (hasa Urusi wanapenda hii), n.k.
Kwanza Urusi kwenye vita hii wameonekana wako vizuri kwenye electronic warfare kwa ground based systems.
Wewe kama una Basha huko US endelea kutoa huduma ila kutaja taja wanaume wengine kama RUSSIA tena Kwa kejeli ukomwSawa ila Allah za roho wenu hawezi kumkomboa mwanajihad mwenzenu Russia dhidi ya fimbo za m-U.S.A .....U.S.A ni nyani mzee haogopi umande..
Yaani anaweza kuwaunganisha middle East,China,M-N.korea,India na Russia na akawatandika za makalio
Ni Mwezi Sasa Nato plus USA wanapambania Bhamut na Russia.Na ni mwezi sasa Russia anaipigania Bakhmut [emoji28][emoji28][emoji28]
Akili ya mmarekani anaijua mwenyewe
Pole eti..Kumbe Russia ni mumeo.? ...usije ukalia lia maana umemuita mwenyewe...Wewe kama una Basha huko US endelea kutoa huduma ila kutaja taja wanaume wengine kama RUSSIA tena Kwa kejeli ukomw
TalibanSawa ila Allah za roho wenu hawezi kumkomboa mwanajihad mwenzenu Russia dhidi ya fimbo za m-U.S.A .....U.S.A ni nyani mzee haogopi umande..
Yaani anaweza kuwaunganisha middle East,China,M-N.korea,India na Russia na akawatandika za makalio
Wewe ndiyo tulia uone Super power wa dunia anavyokuchapia prodigal son (Russia)π π πtulia tafuta gahawa ukae kwa kutulia View attachment 2588804View attachment 2588805
Ni silaha mbuzi weweHaya Mataifa makubwa yanajuana vizuri ktk Siri za technology za siraha.
In chaos we create..... Kwa sasa vita nzuri kwa maslahi ya urusi... Dunia inachangamkaWhat's the source of this misinformation and why hasn't the belligerent Russians prevailed in the war that has failed to come to an end..!!
Wamekuwaje??....Hujui kwamba wameachwa waendelee kuwepo kwa makhsudiTaliban
Jiliwaze,hata urusi alikimbia kuleWamekuwaje??....Hujui kwamba wameachwa waendelee kuwepo kwa makhsudi
Tuseme tu NATO kwa sababu tukianza kuwa mention itakuwa ni aibuSawa ila Allah za roho wenu hawezi kumkomboa mwanajihad mwenzenu Russia dhidi ya fimbo za m-U.S.A .....U.S.A ni nyani mzee haogopi umande..
Yaani anaweza kuwaunganisha middle East,China,M-N.korea,India na Russia na akawatandika za makalio
Hata yeye hutegemea asaidiwe na England, France, Poland, Australia, Canada nk.Sawa ila Allah za roho wenu hawezi kumkomboa mwanajihad mwenzenu Russia dhidi ya fimbo za m-U.S.A .....U.S.A ni nyani mzee haogopi umande..
Yaani anaweza kuwaunganisha middle East,China,M-N.korea,India na Russia na akawatandika za makalio
HahaaaaaaaNikutoe wasiwasi tu nyaraka ya pentagon haiwez kuvuja.
Bonyeza*102#Je nawezaje kutofautisha kati ya nyaraka kuvuja na kutengenezwa nyaraka ili kubadili uelekeo wa jambo fulani?
Mwezi? Bakhmut wameanza kuipigania August 2022, wiki ileile Soledar wameanza kuipigania. Huku RuArmy, huku WagnerNa ni mwezi sasa Russia anaipigania Bakhmut π π π
Akili ya mmarekani anaijua mwenyewe