Nyaraka za siri za US zimevuja : Russia jammed US Smart bombs

Hari=hali
Siraha=silaha
Uandishi kama huu huwa unanivunja moyo kusoma, huenda hata habari fake
 
Silaha, siyo "siraha". Fanya editing bandiko lako.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Silaha, siyo "siraha". Fanya editing bandiko lako.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Nipo tayari kukuandikia thread nyingine kwa lugha nyepesi kama hii haujaielewa.
 
Hari=hali
Siraha=silaha
Uandishi kama huu huwa unanivunja moyo kusoma, huenda hata habari fake
Umeshapata Sababu ya kuutoroka ukweli.
 
Na ni mwezi sasa Russia anaipigania Bakhmut [emoji28][emoji28][emoji28]

Akili ya mmarekani anaijua mwenyewe
Toka december huko anapambana Bakhmut. Wanaweza wakaichukua ila atakuwa amepoteza askar wake wengi sana.
 
Hata yeye hutegemea asaidiwe na England, France, Poland, Australia, Canada nk.
Iraq kwenyewe walikuwa nchi hizo.
Hakwenda peke yake.
Siyo Asaidiwe ila wasaini kumuachiawa uwanja atoe dose πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Wamarekani wa ukerewe na visiwa vya jirani naona wamegoma kukubaliana na huu ukweli. Tulishakubaliana Urusi sio Bukinafaso
Na Mmarekani siyo Mrusi, halafu hivi m-Afrika unam-support vipi mrusi na wakati jeshi lake tu haliwadhamini Waafrika?? πŸ€”πŸ€”
 
Imewafanya nini?...Kama kweli huyo M-russia wako ni kidume aguse ka-nchi kamoja tu kutoka NATO aone mvua ya magoli πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…