Na hapo Ukraine haipo NATO...πππ...omba sana m-Russi wako asiteme ata mate kwenye ardhi ya NATO...Ni Mwezi Sasa Nato plus USA wanapambania Bhamut na Russia.
Fuatilia Leo 15/04 Washirika wameanza kurudi nyuma. Ndio maana Kamanda wa Wagna ameomba utawala wa Russia watangazie Dunia kuwa Special Military operation imekwisha.
Kuna uharibifu mkubwa kwenye ubongo wako ndo maana huamini kama Antony Binken nae huwa anakata GogoNikutoe wasiwasi tu nyaraka ya pentagon haiwez kuvuja.
Marekani anaweza kuizidi Urusi kwa Umbea tuNa hapo Ukraine haipo NATO...πππ...omba sana m-Russi wako asiteme ata mate kwenye ardhi ya NATO...
maana mtarudia misemo yenu ila "Mmarekani muonevu" πππ
Mapenzi yaKidhidi unasahau hata kama umevaa nguo.
Kwani unataka U.S.A afanye nini ili uamini ndiye super power wa dunia?.Marekani anaweza kuizidi Urusi kwa Umbea tu
UguapoleKuna uharibifu mkubwa kwenye ubongo wako ndo maana huamini kama Antony Binken nae huwa anakata Gogo
Historia inasema Russia ndiye mshindi wa WW2 baada ya kumtifua Hitler na Ujerumani yake na ndiye aliyeiokoa dunia kutoka kwenye makucha ya HitlerKwani unataka U.S.A afanye nini ili uamini ndiye super power wa dunia?.
Kwa taarifa yako ata mrusi kuna kipindi mjerumani alimbonda hadi akaomba msaada kutoka kwa Super power...π π π π
Kama siyo kwa maksudi basi ni bahati mbaya unaichengesha akili yako kuhusu mshindi wa WW2 π π π ....Rudi darasani usome hiyo History yako vizuri ila hadi kesho Japan ataendelea kumpigia salute Super power.Historia inasema Russia ndiye mshindi wa WW2 baada ya kumtifua Hitler na Ujerumani yake na ndiye aliyeiokoa dunia kutoka kwenye makucha ya Hitler
Alimshinda Hitler wakati Finland tu alimtoa jasho na kwenye hivyo vita warusi zaidi ya milioni 27 waliuawa hali inayoonyesha jinsi walivyokuwa na wakati mgumu kwenye WWII.Historia inasema Russia ndiye mshindi wa WW2 baada ya kumtifua Hitler na Ujerumani yake na ndiye aliyeiokoa dunia kutoka kwenye makucha ya Hitler
Km 20 tu sawa na umri wako ulivyo![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alimshinda Hitler wakati Finland tu alimtoa jasho na kwenye hivyo vita warusi zaidi ya milioni 27 waliuawa hali inayoonyesha jinsi walivyokuwa na wakati mgumu kwenye WWII.
Marekani angechelewa kidogo tu kuingia kwenye hivyo vita Hitler alikuwa anashinda vizuri sana kwani Hitler alibakiza kilomita 20 tu anaingia Moscow.
You're too kiddish.Km 20 tu sawa na umri wako ulivyo![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]