Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Aanze na secretary wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuna viongozi wa ajabu sana
Ukikataza dada zako na watoto wako inatosha, acha wengine wawe huru ili mradi hakuna sheria ya nchi wanayovunja.Viongozi wote Tanzania waige mfano wa uyu mwamba.
Ukiruhusu uvaaji wa nguo fupi, inamaana ata watotowako na dadazako umeruhusu wavae ivyo.
Hiko ndio kipaumbele?! Cha nchiViongozi wote Tanzania waige mfano wa uyu mwamba.
Ukiruhusu uvaaji wa nguo fupi, inamaana ata watotowako na dadazako umeruhusu wavae ivyo.
Hawa Kenge hawana tofauti na Taliban, baada ya kuwaza vipa umbele vya nchi, Ajira, afya, viwanda,wanawaza upuuzi huu, harafu huyu RC ni kanali kabisa wa jeshi,what a shame
Hiko ndio kipaumbele?! Cha nchi
Mwambieni akamate na wasiovaa hijab,niqab na kanzu ataongezewa cheo awe RC kabisa!
Hivi huko mashuleni mlienda somea ujinga..?!Mabeberu wamewaharibu ninyi co siri,, sasaiv mnaiga everything kutoka kwao. Mwanaume halisi mwenye kujitambua awezi kupingana na mwamba.
Mwanaume halisi anaejitambua hawezi kushindwa kuandika vizuri.Mwanaume halisi mwenye kujitambua awezi pingana na uyo mwamba
SioNdio maana watu tunataka katiba mpya ili ikafute hivi vyeo vigine watendaji wake waakula kodi zetu bure!
Hapo ukimuuliza akupe takwimu za miradi ya maedeleo kama shule, zahaati, barabara, na miradi ya maji amavyo bado havijakamilika na wananchi wanateseka kukosa huduma hizo muhimu wala hawezi kukujibu chochote, maana anashughulika na vitu vidogo sana!
Sio kwamba anashughulika na vitu vidogo,bali anashughulika na vitu vya kijinga.Ndio maana watu tunataka katiba mpya ili ikafute hivi vyeo vigine watendaji wake waakula kodi zetu bure!
Hapo ukimuuliza akupe takwimu za miradi ya maedeleo kama shule, zahaati, barabara, na miradi ya maji amavyo bado havijakamilika na wananchi wanateseka kukosa huduma hizo muhimu wala hawezi kukujibu chochote, maana anashughulika na vitu vidogo sana!
sawa!Mabeberu wamewaharibu ninyi co siri,, sasaiv mnaiga everything kutoka kwao. Mwanaume halisi mwenye kujitambua awezi kupingana na mwamba.
DC = RC?Hawa Kenge hawana tofauti na Taliban, baada ya kuwaza vipa umbele vya nchi, Ajira, afya, viwanda,wanawaza upuuzi huu, harafu huyu RC ni kanali kabisa wa jeshi,what a shame
Wanaopiga wake zao watachukuliwa hatua ila waliovaa nguo zao wakamatwe ?Mkuu wa wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, Kanali Laban Thomas, amepiga marufuku mavazi yasiyo na staha ikiwemo vimini na suruali za milegezo wilayani kwake na amemuagiza Mkuu wa Kituo cha Polisi wilaya ya Nyasa, kuwakamata na kuwachukulia hatua wale wote watakao vaa mavazi ya namna hiyo.
Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza na kujibu kero za wananchi wa Kijiji cha Lulimbo wilayani humo, ambapo pia akakemea tabia ya wanaume wanaopiga wake zao na kuwataka wabadilike la sivyo watachukuliwa hatua za kisheria.
"Wanyasa ni wastaarabu bwana, hata wakiwa wanacheza Mganda wanavaa nguo nyeupe na hazichafuki hata wakicheza masaa na masaa, nguo fupi na Milege Hazitakiwi wilayani Nyasa," amesema Mkuu wa Wilaya.
View attachment 1905898
Mkuu wa wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, Kanali Laban Thomas, akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Lulimbo
Yaani hapo amewaza na kuwazua ndiyo kaja na huu mkakati😀.Hawa Kenge hawana tofauti na Taliban, baada ya kuwaza vipa umbele vya nchi, Ajira, afya, viwanda,wanawaza upuuzi huu, harafu huyu RC ni kanali kabisa wa jeshi,what a shame
Ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23]Hawa Kenge hawana tofauti na Taliban, baada ya kuwaza vipa umbele vya nchi, Ajira, afya, viwanda,wanawaza upuuzi huu, harafu huyu RC ni kanali kabisa wa jeshi,what a shame