Nyasa: DC Kanali Laban Thomas aagiza polisi kuwakamata wanaovaa nguo fupi na "milegezo"

Hawa Kenge hawana tofauti na Taliban, baada ya kuwaza vipa umbele vya nchi, Ajira, afya, viwanda,wanawaza upuuzi huu, harafu huyu RC ni kanali kabisa wa jeshi,what a shame

Nchi za western zimewaharibu muno co siri,, unamuita kenge, halafu unasema anawaza upuuzi!!!! Watoto wako cjui watajifunza nini kutoka baba.
 
Sio
Sio kwamba anashughulika na vitu vidogo,bali anashughulika na vitu vya kijinga.
 
Katiba mpya ikipatikana itaaondoa kupeana vyeo kwa kujuana na ukada badala ya performance.
 
Wanaopiga wake zao watachukuliwa hatua ila waliovaa nguo zao wakamatwe ?
 
Huu ni utumiaji mbaya wa madaraka uliopitiliza.

Hawa viongozi wajinga wanataka kuleta mambo ya kishamba miaka 60 iliyopita.
 
Hawa Kenge hawana tofauti na Taliban, baada ya kuwaza vipa umbele vya nchi, Ajira, afya, viwanda,wanawaza upuuzi huu, harafu huyu RC ni kanali kabisa wa jeshi,what a shame
Yaani hapo amewaza na kuwazua ndiyo kaja na huu mkakati😀.
 
Hawa Kenge hawana tofauti na Taliban, baada ya kuwaza vipa umbele vya nchi, Ajira, afya, viwanda,wanawaza upuuzi huu, harafu huyu RC ni kanali kabisa wa jeshi,what a shame
Ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…