Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
una uhakika hii ni juncao mkuu.Wakati napanda watu wengi walijua napanda miwa, hadi zinakuwa watu wengi walijua ni miwa.Inawezekana sikuelewi au wewe ndiyo hunielewi.Kama una swali uliza ili nikuelewe.
kuna hii pumba fulani zinazotoka kwenye mpunga aisee yani gunia moja mpaka 10k huku tulipo wakenya wanapanda bei sijui kuna siri gani na zinapelekwa sana nje hizi pumba kwa ajili ya mifugo.
una uhakika hii ni juncao mkuu.
Sio Viongozi ni swala la mtu mwenyewe kutafuta maarifa Duniani huko,Bado tuko nyuma sana kuliko wenzetu kwa Kweli
Viongozi wetu na sisi wenyewe hatujishughulishi na kuungana na dunia
Huu mmea hapo jirani Kwa Zulu natal mwaka 2010 walikuwa wamepanda sana
Hata Rwanda pia wamepanda sana ila sisi tunaisaidia dunia bila kujijua huku wakibeba mbegu na hata wadudu na wanyama ila sisi haturudi na kitu kipya pindi tunapokuwa nje ya mipaka
Hizi unaweza agiza tu hakuna cha Serikali, ukikaaa kusubilia kila kitu Serikali utakaaa sanaHapana
, Serikali ina mchango mkubwa,kwani bila Serikali mbegu ya Juncao isingefika kutoka China.
Siyo hizo.Kando kando ya mito yanaota sana. Pale Dumila nmekatia sana ng'ombe wa mzee hayo majani miaka hiyo.
Mimi ninazo ninalima mwaka wa pili huu nilitoa Rwanda.Rwanda zipo tangu 2006.Tanzania serikali ilizipata mwaka 2019/2020.Hizi unaweza agiza tu hakuna cha Serikali, ukikaaa kusubilia kila kitu Serikali utakaaa sana
Sio Viongozi ni swala la mtu mwenyewe kutafuta maarifa Duniani huko,
Mbona mmea huu nimeiona kwenye mashamba ya ng'ombe wa mzee wangu huko Iringa miaka zaidi ya 10 iliyopita! Aliletewa na wazungu miaka hiyo.Bado tuko nyuma sana kuliko wenzetu kwa Kweli
Viongozi wetu na sisi wenyewe hatujishughulishi na kuungana na dunia
Huu mmea hapo jirani Kwa Zulu natal mwaka 2010 walikuwa wamepanda sana
Hata Rwanda pia wamepanda sana ila sisi tunaisaidia dunia bila kujijua huku wakibeba mbegu na hata wadudu na wanyama ila sisi haturudi na kitu kipya pindi tunapokuwa nje ya mipaka
Mbona mmea huu nimeiona kwenye mashamba ya ng'ombe wa mzee wangu huko Iringa miaka zaidi ya 10 iliyopita! Aliletewa na wazungu miaka hiyo.
Hizi unaweza agiza tu hakuna cha Serikali, ukikaaa kusubilia kila kitu Serikali utakaaa sana
Hapa naona watu wengi wanachanganya,mbegu za Juncao zimeingia nchini 2019/2020 kutokea China,Rwanda ndiyo nchi ya kwanza Afrika kulima Juncao kwao mbegu zimeingia 2006.Huku Afrika China inatoa msaada wa mbegu wao ndiyo wanaosambaza.Watu wengi wanafananisha na elephant grass(mabingobingo)au matete.Kwetu kilombero tunayaita magugu maji ,kwasababu yameoteana sana pembezoni mwa mto
Hapa naona watu wengi wanachanganya,mbegu za Juncao zimeingia nchini 2019/2020 kutokea China,Rwanda ndiyo nchi ya kwanza Afrika kulima Juncao kwao mbegu zimeingia 2006.Huku Afrika China inatoa msaada wa mbegu wao ndiyo wanaosambaza.Watu wengi wanafananisha na elephant grass(mabingobingo)au matete.
Juncao ni aina ya napier,aina nyingine ya napier ni Bana grass, Elephant grass, Pakchong 1 nk.
Tofauti ya Juncao na hizo napier za aina nyingine ni uwezo wa kutoa malisho (majani)mengi.
Juncao inatoa machipukizi mengi,majani mengi na yanakuwa marefu.Hizo aina nyingine ya napier hazina sifa hizo,ingawa zinafanana kwa kiwango kikubwa kwa muonekano.
Mimi ninalima Bana grass,Juncao, Elephant grass na Buffel grass Ila hayo yote hayawezi kufikia ubora wa Juncao kwenye kutoa majani mengi na kiwango cha protini, Juncao yana kiwango kikubwa cha protini kuliko napier zote,yanatoa malisho mengi kuliko napier zote,yanakuwa marefu kuliko napier zote.
Unaweza kwenda Google andika tu Juncao grass utapata elimu kubwa.
Ng'ombe 15,nimeeleza mwanzo wa thread.eka 1 ya Juncao inatosha kulisha ng'ombe wangapi wa nyama zero grazing?
Yanakaa muda gani mpaka uanze kuvuna kwa ajili ya chakula cha ng'ombeNg'ombe 15,nimeeleza mwanzo wa thread.